Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

jirani na nyumani kuna mama anauza miguu ta kuku😀 unakuta mtu mzima dume na kitambi kakaa chini na kibakuli anayonya ile miguu aisee so weird🤣🤣🤣
😂😂😂Nimecheka mm napenda vile vitako vya kuku😂😂😂
 
😂😂😂Nimecheka mm napenda vile vitako vya kuku😂😂😂
Vile vitako huwa navikata navitupa Napenda kula kuku paja la juu na chini, firigisi. Nje ya hapo nawaachia familia. Kuwa baba wa familia raha san huwa nikiangalia wanavyohangaika na miguu na zile kucha mpaka mate yanawadondoka🤣🤣🤣🤣
 
Vile vitako huwa navikata navitupa Napenda kula kuku paja la juu na chini, firigisi. Nje ya hapo nawaachia familia. Kuwa baba wa familia raha san huwa nikiangalia wanavyohangaika na miguu na zile kucha mpaka mate yanawadondoka🤣🤣🤣🤣
😂😂😂Wew vitako vile acha tu vitamu mamaangu anapenda zile nyama za mgongoni bas natoa kitako tu namuachia mgongo na firigis na maini ndo ugonjwa wangu
 
Back
Top Bottom