proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
ni mzuri mtaratibu kama hio avatar yake daaana foleni huyo [emoji23]
Kumbe mnamjua shemeji yenu😀😀 ila humu nina michepuko😬
Hatutaki utani kabisa 😅😅Hamtaki utani😂😂
Kasema atatoa mchango 600k wa harusi yetu, kesho tukamdai asubuhi.Atajua hajui. Inabidi aombe msamaha mapema 😅
Ana hamu na miguu ya kuku leo 😅😅Kipenzi changu nimeitika with. Vipi nije na chips mayai kidal?
Sawa, tutamkumbushia kesho 😅Kasema atatoa mchango 600k wa harusi yetu, kesho tukamdai asubuhi.
Akiitoa ndio tunamsamehe
ukidakwa 😂Kumbe mnamjua shemeji yenu😀😀 ila humu nina michepuko😬
Mapema kabisaSawa, tutamkumbushia kesho 😅
Nikimkuta mchepuko huko atanielez alikuw anafanya nini kwenye huu uzi😬😬😬ukidakwa 😂
jirani na nyumani kuna mama anauza miguu ta kuku😀 unakuta mtu mzima dume na kitambi kakaa chini na kibakuli anayonya ile miguu aisee so weird🤣🤣🤣Ana hamu na miguu ya kuku leo 😅😅
Uswahilini ndio zetu 😅😅😅jirani na nyumani kuna mama anauza miguu ta kuku😀 unakuta mtu mzima dume na kitambi kakaa chini na kibakuli anayonya ile miguu aisee so weird🤣🤣🤣
Siwezi labda niwe kwangu ila barabarani siwezi kabisa tena kufyonza miguu. Kichwa ndio kabisa siliUswahilini ndio zetu 😅😅😅
😂😂😂Nimecheka mm napenda vile vitako vya kuku😂😂😂jirani na nyumani kuna mama anauza miguu ta kuku😀 unakuta mtu mzima dume na kitambi kakaa chini na kibakuli anayonya ile miguu aisee so weird🤣🤣🤣
Vile vitako huwa navikata navitupa Napenda kula kuku paja la juu na chini, firigisi. Nje ya hapo nawaachia familia. Kuwa baba wa familia raha san huwa nikiangalia wanavyohangaika na miguu na zile kucha mpaka mate yanawadondoka🤣🤣🤣🤣😂😂😂Nimecheka mm napenda vile vitako vya kuku😂😂😂
😂😂😂Wew vitako vile acha tu vitamu mamaangu anapenda zile nyama za mgongoni bas natoa kitako tu namuachia mgongo na firigis na maini ndo ugonjwa wanguVile vitako huwa navikata navitupa Napenda kula kuku paja la juu na chini, firigisi. Nje ya hapo nawaachia familia. Kuwa baba wa familia raha san huwa nikiangalia wanavyohangaika na miguu na zile kucha mpaka mate yanawadondoka🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Usijali kipenzi. Mawazo hayawezi badilika, labda wakaniroge 😅😅
Hahah ukija kunisalimia kitako kitakuw chako 😀miguu, utumbo na vichwa nitakufungashia ukale nyumbani 😀😀😂😂😂Wew vitako vile acha tu vitamu mamaangu anapenda zile nyama za mgongoni bas natoa kitako tu namuachia mgongo