Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Kiukweli shangazi yeyote mwenye kiwango hiki cha ulimbwende ni asali kunako moyo wa baharia. Kama unajijua una kamvuto haka jua tu uko kwenye uchumi wa kati
images (1).jpeg
 
KIIINDI NI MGENI JF NILIVUTIWA NA DADA FLANI IVI, NILICHUKUA HATUA YA KUMFUATA PM LAKIN AKAWA SLOW SANA, BAADA YA MUDA NILIGUNDUA WANAWAKE WA HUMU UKIWAFUATA INBOX WANAJUA WE MUHUNI NA NDO TABIA YAKO SO NIKAMG'OA NANGA ILA KWA MWANDIKO TU INONEKANA NI BINTI MZURI NA MKWELI😔
 
Back
Top Bottom