Hebu Leejay49 chagua upande. Unatuchanganya wajumbe.Sasa mbona hukakemea😀 ukiingia ndani mtego huo kaa kwenye kochi. Hivi namjua Half american toka akiwa mdogo. Mama akituogesha alikuw anakimbia nje uchi tu mda wote hatako kivaa nguo😀 hajawah Ata Sali rozari leo hii anataka ukasali nae chumbani .
Mpenzi wangi Leejay49 nakuonea huruma. Unajua huyu jamaa huwa anakula bijiji na karanga wakati mmoja 😬😬🤣
😂😂😂Yuko shule saivi, ngoja akirudi jioni tunamuita hapa utoe tamko.
Swali zuri sana nasubiri majibu
Mwee mwee mwee 🤣😂😂😂Yuko shule saivi, ngoja akirudi jioni tunamuita hapa utoe tamko.
Jaribu kipenz mm nilijifunza Kwa malkifoodsNaichukua hii, nikaifanyie majaribio.
Napenda sana kuku ila supu yake ilinishinda sababu ya harufu
Habari yako Mrembo
Basi friends tu, nionee hurumawanne wote hao me wanini, pekeyake tu ananitosha
Mwanangu mbona mchoyo hivyoBabe Leejay49 kuliko niwe na wenzangu bora niwe singo again 🤭
Leejay49 hakuna urafiki kati ya ke na meBasi friends tu, nionee huruma
😅😂 pambana na hali yako mkuuMwanangu mbona mchoyo hivyo
Asante dearJaribu kipenz mm nilijifunza Kwa malkifoods
Johnnie Walker wananiibia tunda langu huku[emoji22]
Mbona hujataja mtu kijana?[emoji23][emoji23][emoji23] nakuja na upanga chap kuokoa tundu lako
🥰 nadhan Analyse umepata jibu sahihi sasa.me ni wa Half american , Gily kaa mbali na mimi tafadhali 🤓
Ndio maana nakupenda, unajielewa sana 🥰naelewa kipenzi 🤗
Na wifi mkubwa ndio nishakupokea 😍yani hapo ndo nishafika wiiii, nitoke niende wapi tena mimi jamani 💃