Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mpaka urudishe pesa zetyaisee, nyie sio watu wazuri π
Maaana ya jinalangu ni utukufunakumbuka weekend kulikuwa kuna tafsiri za majina la kwako nimelisahau πππ
jamani, nimeshakua kua jini mara hiiπSikuwa najua kama majini nayo yana moyoπ
Sawa sawaNi mpya, hawezi kwa sasa...
Mashemeji zako wana hasira sana π€£π€£π€£π€£jamani, nimeshakua kua jini mara hiiπ
Mzee wa tipwa tipwa tetemaπSawa sawa
Maashallah utukufu wa Ahera au dunya π π πMaaana ya jinalangu ni utukufu
Huu ni mtegoππKama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia, pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana. Haya kazi kwenu, tiririka.
Hapo utajua wewπππMaashallah utukufu wa Ahera au dunya π π π
Walai tumkomalie Bantu Lady atuangalizie angalizie huko lol π€£π€!πππAtuambie dadaangu nafas ipatikane Kwa nduguyake hapo usikubali ππ
aisee, mbona nitakomaπ πMashemeji zako wana hasira sana π€£π€£π€£π€£
Kama kichwa cha huu uzi kinavyosema nataka tuwe kwenye mahusiano basi, lakini mahusiano ya Uki comment na reply na Mimi Ni ki Comment na wewe una reply... halafu katika huu uhusiano wetu Ufanye kuni follow basi π€£π€£π€£Hapo utajua wewπππ
Thread ya watu inapendeza ipo na amani itakuja kuchafuka...Sawa sawa
Bila shaka huu ni utukufu wa Duniani huu πππHapo utajua wewπππ
Cheka utanue mapafu kipenziii jf ni stress free zone!!!πNimecheka jamani π€£π€£π€£π€£π€£ Tonnia ni chizi wewe mtoto unajua. Kazi anayo mbona.
utuletee mrejesho alafuπ
Muda si mrefu, mrejesho utakuwa hapa jamvini.
πππKha Yamekuwa hayoKama kichwa cha huu uzi kinavyosema nataka tuwe kwenye mahusiano basi, lakini mahusiano ya Uki comment na reply na Mimi Ni ki Comment na wewe una reply... halafu katika huu uhusiano wetu Ufanye kuni follow basi π€£π€£π€£