Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Mkuu, umeamua kunipindua mchana kweupeee 🫣🫣🫣 kweli maskini hatupendani
Wee sii umesema mambo ya madem basi....umetulia sasa kukupindua kivipi wakati Dr Lizzy ulimuacha muda. Wacha mie nikajilie mema ya nchi na vile anajua kupika nakwambia nitakuwa naulizwa tuu bby do u wana eat or do u wana eat first🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Nani hataki surprise za nimekutumia ya lunch babe wangu, una changamoto gani kwasasa mpenzi wangu kwani weeeehh!! 😂😂🤣🤣!! In Aaliyyah voice 🤭!
😂😂😂😂Shenzi sana wew
Yale mambo yana rahayake jamani

How was your day darling?😍
nyie hata km umekula dagaa unaona km umekula nyama 😂😂
 
Back
Top Bottom