Kwali lipi mshambapole sanaπ
Kama unawengi huko kitaa huku humtaji mtu maana nimepitia post zako wewe unatakiwa Samia akupe tuzo za wanaume vishokaHa ha ha....[emoji38]
Ungependa nithibitisheje? mi nakusikiliza wewe tuThibitisha kuwa wewe sio mdada
kukosa pisi....Kwali lipi mshamba
Hahaha nitakosaje pisi mkuu.kukosa pisi....
Uzi wa kijinga kama huu hutembeaga sana
Kumbe pia ni Yanga mwenzangu Aaawww mbona huwa sikuoni? Huwezi amini, leo ndiyo mara ya kwanza nakuona eti!!!Nimeotea mkuu.
Nilibahatisha kwenye ule uzi wa selfika sio mtembeleaji sana. Miaka yote nimeotea kuwaona wadada wawili tu so huwa siuzingatii sana. Majuzi sasa ndio nakutana na Bantu Lady
Ni kazuri halafu ka mwananchi mwenzanguπ
Wewe mwanadamu umewahi toa mada ipi inayoeleweka labda halafu tuongee kifair tu bossy, huu Uzi sio wamaana maana hujautoa wewe acha watu waenjoy maisha ni mafupi ndio maana jf ukitoa vitu serious wanafuta kila saa tukunje sura KisaKwali lipi mshamba
π€£π€£π€£π€£Chezea nyakunyaku weweeDada katili Wew loh bwana uniibie na notes za kumkamatia mwingine Tena uninyimeππ
ni piemu tu zinznyemelewa taratibu πHahaha nitakosaje pisi mkuu.
Wakubwa hatuanikagi mambo hadharani.
Kabla halijakuchwa atachezea kipigoπ€£π€£Kumbe pia ni Yanga mwenzangu Aaawww mbona huwa sikuoni? Huwezi amini, leo ndiyo mara ya kwanza nakuona eti!!!
Antonnia Aaliyyah shemeji yetu kapitishwa rasmi, ila mazoea naye sitaki π€£π€£π€£π€£π€£π€£ mkaoge maji ya bahari kwanza πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈππππ
Kijana tafuta pisi uache kunifuatilia nimefungaπ€£π€£ni piemu tu zinznyemelewa taratibu π
ameumia, hajatajwa π
Eeehee zamu yako Leo,π€£Dume la mbegu lililokamilika liko hapa π π π
Mbona povu bablaiππππWewe mwanadamu umewahi toa mada ipi inayoeleweka labda halafu tuongee kifair tu bossy, huu Uzi sio wamaana maana hujautoa wewe acha watu waenjoy maisha ni mafupi ndio maana jf ukitoa vitu serious wanafuta kila saa tukunje sura Kisa
namtajaje mwanaume ππ π π ebu mtaje basi, asije akajinyonga
π€£π€£π€£Ndugu unatuchamba Tena ndugu zako tumekosa sisi tusamehe π€£π€£π€£π€£Kumbe pia ni Yanga mwenzangu Aaawww mbona huwa sikuoni? Huwezi amini, leo ndiyo mara ya kwanza nakuona eti!!!
Antonnia Aaliyyah shemeji yetu kapitishwa rasmi, ila mazoea naye sitaki π€£π€£π€£π€£π€£π€£ mkaoge maji ya bahari kwanza πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈππππ
π π π anataka atest mitambo, atakimbia na kufuli mkononiEeehee zamu yako Leo,π€£
Naweza kumkubali kukuridhisha hlf kaka wa watu akaishia kuwa kataa ndoa kila akipita unaona tu anaandika kataa ndoa ni mauti,kataa ndoa ni moto,kataa ndoa ni kirusi uishie kupata dhambi.Mi sifai sisyππ
[/QUOTE
π€£π€£π€£π€£Kuna mmoja aliniacha hoi alisema ndoa ni UCHAWI !
Mdogo wangu wa dhahabu unafaa Sana acha kujifanya hufai,mi sinaga ndugu wasoelewekaβ€οΈβ€οΈβ€οΈ