Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #1,841
Watakuwa wale wa rangi rangi ''reject'' ππnamtajaje mwanaume π
mimi nataka mbunye sitaki marinda πWatakuwa wale wa rangi rangi ''reject'' ππ
Ebu anza wewe ili kurahisisha mambo
Nimeotea mkuu.
Nilibahatisha kwenye ule uzi wa selfika sio mtembeleaji sana. Miaka yote nimeotea kuwaona wadada wawili tu so huwa siuzingatii sana. Majuzi sasa ndio nakutana na Bantu Lady
Ni kazuri halafu ka mwananchi mwenzanguπ
Shemelaa aheshimiwe nawatruuu wotreee kipenzee Usijareee kabesaaa hapo tunakaa nae mbareeee maili miambiliiii kidogoo ππ€!!Kumbe pia ni Yanga mwenzangu Aaawww mbona huwa sikuoni? Huwezi amini, leo ndiyo mara ya kwanza nakuona eti!!!
Antonnia Aaliyyah shemeji yetu kapitishwa rasmi, ila mazoea naye sitaki π€£π€£π€£π€£π€£π€£ mkaoge maji ya bahari kwanza πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈππππ
Huyo mtu wenu mtafuteni vizuri ππππ aliwaunganisha tela nini? Aliwakomesha sana π€£π€£π€£π€£ERoni
Hivi Patience123 sio Bantu Lady
kweli?
Nakumbuka alivyojua kutuchezesha enzi zile 2017 to 2019π
No hakuwa mtu wetu bali alijua sana kuvaa uhusika kama wako, mcheshi mwerevu na mrembo kama wewe.Huyo mtu wenu mtafuteni vizuri ππππ aliwaunganisha tela nini? Aliwakomesha sana π€£π€£π€£π€£
Mimi ni mimi sina ID nyingine kabla, kwa 10 yrs.
Wabheja sana πππ mkae mbali sana πππππ nianze kumpet pet shemeji yenu. Aone alichelewa wapi kujuana namimi. Kama mtahitaji somo niwafundishe, mnione Whatsapp πππππ€£π€£π€£π€£π€£Shemelaa aheshimiwe nawatruuu wotreee kipenzee Usijareee kabesaaa hapo tunakaa nae mbareeee maili miambiliiii kidogoo ππ€!!
Kumbe mwananchi lol namsalimia in the name of MayeleeππππβοΈβοΈβοΈβοΈπ
Ooh kumbe watu hufanana tabia naona, enhee mzigo weee heeee isijekuwa, mzigo unaendana na huu uzi πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπ€£π€£π€£No hakuwa mtu wetu bali alijua sana kuvaa uhusika kama wako, mcheshi mwerevu na mrembo kama wewe.
ERoni na mimi alijua kutuchezesha sana tungekuwa mafala tungepiganaππππ.
Ni mtu wa dini sana Ostadhat but alijua kujifyatuaππ
Eh aiseeni piemu tu zinznyemelewa taratibu π
NakaziaWewe mwanadamu umewahi toa mada ipi inayoeleweka labda halafu tuongee kifair tu bossy, huu Uzi sio wamaana maana hujautoa wewe acha watu waenjoy maisha ni mafupi ndio maana jf ukitoa vitu serious wanafuta kila saa tukunje sura Kisa
Alafu atanitaja nanFanya 1,000
Thank you [emoji126][emoji126][emoji126][emoji8][emoji8]
Mi kw so mamlaiiMbona povu bablaiππππ
Uzi ni wa kijinga na wajinga tupo kuutembeza..umekerwa?π€£π€£
Mie ni bonge la pisi hatariiAlafu atanitaja nan
He wewe unashida mahali Fulani sio buree hili ni shepu Sasa ,kha au kituko mbona Kuna wengi wanadamu
Hasira ya Nini. Bablai ??Poteeni na msinitaje huko wakuuπ
Ili unipange??Embu nitumie shepu ako pm mama la mama