Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Nimeotea mkuu.
Nilibahatisha kwenye ule uzi wa selfika sio mtembeleaji sana. Miaka yote nimeotea kuwaona wadada wawili tu so huwa siuzingatii sana. Majuzi sasa ndio nakutana na Bantu Lady

Ni kazuri halafu ka mwananchi mwenzangu😍

hakika hujakoseaaa shemlakeee yani mulemuleeeeee!! Hapo umepata chombooo haswaaahh kishimiliee kweri kweriii!!
 
Shemelaa aheshimiwe nawatruuu wotreee kipenzee Usijareee kabesaaa hapo tunakaa nae mbareeee maili miambiliiii kidogoo 😁🀭!!

Kumbe mwananchi lol namsalimia in the name of MayeleeπŸ’›πŸ’šπŸ’šπŸ’šβœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈπŸ˜‚
 
Huyo mtu wenu mtafuteni vizuri πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ aliwaunganisha tela nini? Aliwakomesha sana 🀣🀣🀣🀣
Mimi ni mimi sina ID nyingine kabla, kwa 10 yrs.
No hakuwa mtu wetu bali alijua sana kuvaa uhusika kama wako, mcheshi mwerevu na mrembo kama wewe.
ERoni na mimi alijua kutuchezesha sana tungekuwa mafala tungepiganaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Ni mtu wa dini sana Ostadhat but alijua kujifyatuaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wabheja sana πŸ‘πŸ‘πŸ‘ mkae mbali sana πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ nianze kumpet pet shemeji yenu. Aone alichelewa wapi kujuana namimi. Kama mtahitaji somo niwafundishe, mnione Whatsapp πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Ooh kumbe watu hufanana tabia naona, enhee mzigo weee heeee isijekuwa, mzigo unaendana na huu uzi πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…