Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.

Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.

Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.

Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.​
Humu Nakadori tu ananitosha hata tukiongezea na huyu mtoto cariha itapendeza zaidi
 
Brother Kuna namna Jana nlikuwa najichukulia sheria mkononi nlienjoy hatariiiii🤣🤣 wakati waaarabu wanakuja nlibana kichwa Cha mb<><> nkawa nafanya kama nasugua ule mshipa/ path wanamotokea waaarabu🤣🤣🤣
hahahaha burudani kabisa, nashangaa wanaovamia maGono ilihali UTI-less papuchi iko kwenye mikono
ila, ID yako ya zamani ni ipi ?
 
Back
Top Bottom