Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
😁😁😁Hiki si kitunguu maji hiki?utalia kila saa weweJitahidi awe hivi View attachment 2600539
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Hiki si kitunguu maji hiki?utalia kila saa weweJitahidi awe hivi View attachment 2600539
We naweeee😂😂😂Kuna mmoja kaning'ang'aniza nimtaje. Darlin wakati hata sina hisia na libibi la watu.
Aa wapi sio rahisiWatakuja PM.
Ahhh kupika tutaagiza kfchaha hutaki mambo mengi kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]
awe anajua kupika na kudeki pia usifanye kazi kwa sababu wewe ni Divah tz[emoji3][emoji3][emoji3]
Humu Nakadori tu ananitosha hata tukiongezea na huyu mtoto cariha itapendeza zaidiKama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
Ubahiri tyuLast chance kama kuna dada ambae hasuki, anitafte chap [emoji23] I will give u everthying mamii[emoji23]
hahahaha burudani kabisa, nashangaa wanaovamia maGono ilihali UTI-less papuchi iko kwenye mikonoBrother Kuna namna Jana nlikuwa najichukulia sheria mkononi nlienjoy hatariiiii🤣🤣 wakati waaarabu wanakuja nlibana kichwa Cha mb<><> nkawa nafanya kama nasugua ule mshipa/ path wanamotokea waaarabu🤣🤣🤣
Unakosea, wanawake wenye akili hawapendi kuchanganywa.
ukiona hivyo ujue wewe sio mlengwa.... 😂
Mwanamke asuke apendeze ata akinyoa anamiss kusuka ndomn wanavaa mawigiukiona hivyo ujue wewe sio mlengwa.... [emoji23]
we mzee nakuchukia 😂 nenda kacheze bao huko....Hajafikisha 18 huyo. Hiyo ni kesi, kaa nae mbali, bado nakuhitaji 😅😅
wee kuna pisi kali hazisuki Depal Kelsea 😂Mwanamke asuke apendeze ata akinyoa anamiss kusuka ndomn wanavaa mawigi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
You are genouesUzi una viewrs 4K
Naona watu wanazungukia kuchunguli kama wametajwa, au babes zao zimetajwa [emoji23]
😂 Nina mwaka wa nne ni mwendo wa low cut tu
very byurifuu 😂achana na hao wenye chuki....😂 Nina mwaka wa nne ni mwendo wa low cut tu
Sawa sjakataa kuna wanaonyoa na kusuka ila wanaonyoa wanamissig kusuka blood
Unaweza Kuta au yeye kamtaja mtu wake😂😂