Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Na ashindwe yeye kweliAshindwe yeye tu kunenepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ashindwe yeye kweliAshindwe yeye tu kunenepa
😍😚Akituma kali zaidi na update kali zaidi
Leejay49 kula chuma kingine ichi mama
View attachment 2601137
Uko serious?! 😊Kama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
🥰 achana na hao janja janja kina Gily na Binadamu Mtakatifu watakupotezea mudakukupenda wewe ni jukumu langu kwa hilo we ondoa shaka kabisa 🤗
Wait nakuletea dedication matata sana 😍😍
wasikushtue hao, me nakupenda wewe tu pekeyako 😌🥰 achana na hao janja janja kina Gily na Binadamu Mtakatifu watakupotezea muda
KWan lazima muige kutuma nyimbo, tumia sanaa yako kumpa vitu adimu🤣Wait nakuletea dedication matata sana 😍😍
Ukimpa vya uvunguni, lazima atangaze ndoa ndani ya mwezi tu 😅😅Huyu atanisumbua tu. Mm nataka ndoa yeye hataki.
Hakika namuombea awe kiziwi asisikie lolote na awe kipofu asione chochote LenieKama hatosikiliza maneno ya wapambe, basi nitafaidi sana 😅😅
Namuombea awe kiziwi asisikie lolote na awe kipofu asione chochote LenieKama hatosikiliza maneno ya wapambe, basi nitafaidi sana 😅😅
😂😂unataka unipose kwa bei gani?Huyo jamaa anaweza hata akachoma visu picha ya Ben Carson akidhani ni Mimi. Inaonesha hataki masihara na wewe 😅😅😅
Anyway, hako kapesa, unanipa lini? 😊
🥰😘 kumbe kupendwa nawe ni raha hivi, hakika nnainjoy sijui tutangaze lini ndoa mama?wasikushtue hao, me nakupenda wewe tu pekeyako 😌
Kabisa kabisa!!😂!Ila hatuezi jua labda kuna kitu special kimepangwa kwa ajili yetu sie watatu tunaosikitisha…[emoji1735]
wewe tu 😊🥰😘 kumbe kupendwa nawe ni raha hivi, hakika nnainjoy sijui tutangaze lini ndoa mama?
Kuna Mwingine? Maana humu upendo ule wa kweli hakuna,ila kunyegeka na MTU ndo wapo chap then wanakudump🥰 kwahiyo umeuona wa agape tu?
Babe mbona unanichanganya na Half american. ? Tangia lini unanisaliti😢kukupenda wewe ni jukumu langu kwa hilo we ondoa shaka kabisa 🤗
wewe tu 😊
Anytime as u wish my queen tukapate na baraka za wazazi 🥰😘wewe tu 😊
Mambo makubwa haya 😄 yananiogopesha mwenzio. Yanakuwaga matamu mwanzoni halafu baadae yanaumiza.Huu ukurasa tuufunge , nyuma ya keyboard Tuufunge ukurasa WA Uhalisia Mama,
Tufanye ,
Ndege wanafanya,
Kuku wanafanya ,
Hata inzi ambao hawajasoma wanafanya ...
Tufanye Mimi na wewe ,
Tuwe