Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli ndio changamoto ilipo, yaani unaweza ukapata muongozo kwa kusoma kitabu cha kitakupa mwangaza huwa kinauzwa kwenye maduka ya vitabu vya dini. Au kwenye makanisa ya Efatha na cha Kiswahili kipo.Nakupenda pia Manyanza ...members wengi wa humu single mom wanatukatisha sana tamaa kiasi kwamba huwezi kumwamini MTU anayekuja mbele yako kwa nia nzuri...yaan unajua tu nachorwa hapa... Anataka apite huyu!π
Johnnie WWalker kuna story inaletwa na Binadamu Mtakatifu inaitwa "kibwengo sitaki nataka".Anatunguwa Leejay49 kwa kuzalilisha familia yetuπkibwengo sitaki nataka π π π π
Ahahahahh ngoja tusubilieHahaha alisema anaanzisha thread yake chombezo: Kibamia kilivyotaka kuniuaπ€£π€£π€£π€£
Hahahahaha musiende kama mna pesa za mawazoSerena hotel niliuziwa apple elfu 12 siwezi sahau nililila mpaka nikalamba na vidole sikutemba hata mbeguπ€£π€£π€£
Akianzisha nitag πAhahahahh ngoja tusubilie
Ahahhaha nimeiona na mimi nimeshusha mzigo mpya sasaivJohnnie WWalker kuna story inaletwa na Binadamu Mtakatifu inaitwa "kibwengo sitaki nataka".Anatunguwa Leejay49 kwa kuzalilisha familia yetuπ
Ni mpya, hawezi kwa sasa...Hajakutaja? π π
mbona mnaniandama jamani , kumpenda Half american sio kosa langu ni moyo ndo umeamuaπJohnnie WWalker kuna story inaletwa na Binadamu Mtakatifu inaitwa "kibwengo sitaki nataka".Anatunguwa Leejay49 kwa kuzalilisha familia yetuπ
Apple la buku ukauziw elfu 12 wanaona watu wajingaπHahahahaha musiende kama mna pesa za mawazo
ππ Una moyo?mbona mnaniandama jamani , kumpenda Half american sio kosa langu ni moyo ndo umeamuaπ
JiniLeejay49 anacheza kama naniππ
ndio ninaoπππ Una moyo?
aisee, nyie sio watu wazuri πJini
Sikuwa najua kama majini nayo yana moyoπndio ninaoπ
utuletee mrejesho alafuπAahahahahhaaa looh,
Yaani katika habari zote za Kasinde umemuona Jordan tuu....π π π
Kuna dalili wewe utakuwa mmoja wao na wale wa geshi la porisi.....
Jordan, Jordan.... π₯°π₯°
Maneno yamekata ghafla........