Divah tz
Member
- Apr 26, 2023
- 41
- 85
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili unipange??
Hahahahah sijui ni nini kimenifanya Ila nilihisi Tu Mimi mkubwa kwakoUna uhakika kua Mimi ni mdogo wako?
[emoji41]
Hebu picha pm nione kama kweliMie ni bonge la pisi hatarii
HutopigwaHebu picha pm nione kama kweli
KAma Hawa Unique Flower unamwita babe Lovelovie amesema Huna maajabu etiMm na ww lazima tufanye jambo mwaka huu hauishi nakuoa embu njoo pm kabla wachawi wa kike hawajaja hapa
nipigwe na nan?Hutopigwa
Umenionea ehnipigwe na nan?
Hapana bhana uwahi tuOoh kumbe watu hufanana tabia naona, enhee mzigo weee heeee isijekuwa, mzigo unaendana na huu uzi 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🤣🤣🤣
Fambaf wewe ntakuharibia jimbo jipya, unajua naweza😂Nakazia
Hivi yule wa mwanza mdau wa biashara siku hizi anajiita nani vile? Najua hutomind 😁Happy US madomo zege,yani simple tu una tag id halafu Ndukiii
shida nikitaja zote ntaonekana mrax,sasa si bora nikaushe tuuu
maaana sio mmoja sio wawili sio watatu wala sio wa nne,Nachojua
hata wakinikubalia wote bado ntapenda tenaa,huu moyo wangu naujua...
Mahusiano yetu yanaanza lini baby kibori nangai
HAUWEZIFambaf wewe ntakuharibia jimbo jipya, unajua naweza😂
Mzee acha roho mbayaaa..😄Sasa huyo unakuja nae wa nini tena bby ebu njoo mwenyewe ngoja nikutumie hela ya bolt.
KAma Hawa Unique Flower unamwita babe Lovelovie amesema Huna maajabu eti
Unajua kuwaloga sema huna bahati kudumu nao mwee😁HAUWEZI
Huyu kijana hapa amekufa kaoza, humwambii kitu kuhusu mimi akakuskiza
Mie tenaaa 😅😄😄Nyie watu mmeshindikana, Glenn, National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab na Carlos The Jackal mmeshindikana😅😅
Wewe nyiie wa domo zege nyie ni wah mnawadada wengi nyie ni moto wakuoteaga mbaliHappy US madomo zege,yani simple tu una tag id halafu Ndukiii
shida nikitaja zote ntaonekana mrax,sasa si bora nikaushe tuuu
maaana sio mmoja sio wawili sio watatu wala sio wa nne,Nachojua
hata wakinikubalia wote bado ntapenda tenaa,huu moyo wangu naujua...
Crimea hiyo kama hajui😅😅Jimbo lina mgogoro 🥴
Mapochopocho 🍲🥘🍗 niwaletee wapi???