Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Happy US madomo zege,yani simple tu una tag id halafu Ndukiii

shida nikitaja zote ntaonekana mrax,sasa si bora nikaushe tuuu

maaana sio mmoja sio wawili sio watatu wala sio wa nne,Nachojua

hata wakinikubalia wote bado ntapenda tenaa,huu moyo wangu naujua...
😀 😀 😀 teknolojia inarahisisha mambo
 
Back
Top Bottom