Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
πββοΈπββοΈπββοΈAsante sana mama watoto. Hawa jamaa hawajal kabisa feeling zangπ¬π¬π¬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πββοΈπββοΈπββοΈAsante sana mama watoto. Hawa jamaa hawajal kabisa feeling zangπ¬π¬π¬
Gily naomba utambue mipaka yako tafadhali..... ππββοΈπββοΈπββοΈ
Safi karibuniSawa,ndio namuandaa mstaafu wangu tujeπ
jiangalie kwenye kioo hasira zitaishaNina hasira Leo,acha tu babaπ
ππππ nimekuta nipoπjiangalie kwenye kioo hasira zitaisha
[emoji28][emoji28]dogo uishie hapo hapo, mali za kaka yako wewe huziwezi. Fanya maarifa ukubalike kwa huyo mdogo wake Clepatina. Joannah keshafika mwisho wa lami[emoji16][emoji3]Kikubwa ni kwamba aliyetangulia katangulia tu na hakuna awali mbovu... Hapana shaka kwamba kwenye wakubwa wawili halishindikani jambo. Acha huyo dogo aendelee kucheza na walamba lips akikua atakuwa amejifunza jambo.
Nipatie ushirikiano wako binti kisura, hakika utakula mema ya nchi. Wacha nikutunikie kile ambacho unastahili.
Hebu sema wewe,Mimi niliwaambia Nina mzee mwenzangu wakaanza dharau sijui walihisi Mimi mgane! Clepatina unamsikia shemeji yako Sasa?
Lakin sis si hata mie nilikwambia ninae shem wako hukuraka kunisikiliza.Hebu sema wewe,Mimi niliwaambia Nina mzee mwenzangu wakaanza dharau sijui walihisi Mimi mgane! Clepatina unamsikia shemeji yako Sasa
π€£π€£π€£π€£π€£Daaah,huna huruma Unataka nimsabishie mstaafu wangu kiharusi!?hebu tuache we mtotoLakin sis si hata mie nilikwambia ninae shem wako hukuraka kunisikiliza.
Huu mvurugana umeusababisha wewe sisyπ,chakufanya piga chin mstaafu kamata mgodi tule maishaπ
Hem niache nile maisha na kigoli wangu @JoannahπLakin sis si hata mie nilikwambia ninae shem wako hukuraka kunisikiliza.
Huu mvurugana umeusababisha wewe sisyπ,chakufanya piga chin mstaafu kamata mgodi tule maishaπ
Nilikwambia lkn kuna blaza yako ukashupaza shingo πππHahahah blaza kumbe umejiweka humo bana π basi basi bana ya Ngoswe ngoja nimuachie Ngoswe
Blaza alijiweka nyuma nyuma kama spear tyre tatizo πNilikwambia lkn kuna blaza yako ukashupaza shingo πππ
Bora umemuelesha maana vijana wa siku hizi wako speed kwenye Mali za kaka zaoπDogo kanielewa, nadhani hakujua kakake nipo naishi humuπππ