Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
๐๐๐๐๐heeeeeeeImeniponza Hadi nimeitwa tomboy...Yaani kifupi nimejimiss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐heeeeeeeImeniponza Hadi nimeitwa tomboy...Yaani kifupi nimejimiss
Unachat na Equation x hapo. Chonde chode mkuu ๐ ๐Nialiamka vizuri sana naona Analyse anataka kuharibu siku yangu, anakutaja hovyo swiorrt
Yesu wangu msaidie huyu kaka๐Naomba niifuate huruma yangu niipokee kama kwel nahurumiwa..
Ohoo usiwe mkoboaji lkn๐๐๐๐๐๐sijui nijibadilishe ๐
ila we mtu daah๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐ผSio kweli mkuu, humu ndani jokes nyingi tu. Ngoja sasa nikupe Siri
Half american account yake nyingine ni Leejay49
Glenn account yake nyingine ni Evelyn Salt
Analyse account yake nyingine ni Lenie
Gily account yake nyingine nadhan unaijua ๐ ๐ ๐
Sasa zile comments zote unazoona, kila mmoja wetu alikuwa anacomment na account moja,Kisha anaenda kujijibu na account nyingine ๐ ๐ ๐ .
So usipate stress mkuu, na ww fungua account yako ya kuwapanikishia watu ๐ ๐ ๐
Natania, lakini nipo siriasi ๐ ๐
Niko poa,,naona kitambo nikajiuliza sijui tunapishana wapi?Niko nakimbizana huku ๐๐๐natafuta hela ya vicoba my wangu
Nimekumiss zaidi dear wangu
Uko poa?
Mwanaume anaomba huruma?Yesu wangu msaidie huyu kaka๐
YEsu ameshanisaidia ..kilichobaki ninmsaada wako tuuYesu wangu msaidie huyu kaka๐
Glenn unaharibu arifu..Mwanaume anaomba huruma?
Simba huomba huruma ya swala?
Shtuka hakuna mtu hapo๐
Wabongo Wana dogo Kwani๐ค๐ค๐คeti mtu kastuka kabisa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐heeeeeee
Kiukweli hata Mimi Nina mashaka, equation x una account ngapi wewe? ๐ ๐Imeniponza Hadi nimeitwa tomboy...Yaani kifupi nimejimiss
Nini tena mpwa? ๐ ๐ila we mtu daah๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐ผ
limao linakuhusu kwa hangover uliyonayo
kwahiyo kumbe watu tunajianzishiaga nyuzi na kujitag,, we mjomba hapana๐๐๐Nini tena mpwa? ๐ ๐
mimi hapa mkuu
Kuwa makini mpwa. Humu kuna watu Wana accounts 3 na huwa wanajitag kwenye matukio ๐ ๐ ๐ .kwahiyo kumbe watu tunajianzishiaga nyuzi na kujitag,, we mjomba hapana๐๐๐
Nashindwaga nikuite $ister or bro ujuemimi hapa mkuu๐