Wee bwana wa mtaani ndio sie wakina mzabzab wa jf. Wanaume ni wale wale tunapenda mbususu na tunachepuka sasa wee shupaza shingo siku zinaendaπππKwani unafikir husband material ni nyie wa Jf mpambane tu nahalizenu ndoayngu inatoka huku mtaani πππ
Binafsi nilikutana na mke wangu yeye akiwa na age 20, mimi 28; sasa mtoto wa kwanza yuko sekondari, na sijawahi kujutia, tukiwa pamoja unaweza hisi labda tuna wiki moja kwenye ndoa.Sijataka TU mwaka nikihitaji Hata Leo naipata na pia Niko karibu na Watu ambao ndoazao zimenyooka lakini najua Nini nataka siwezi harakia hayo wanasema huwez kunywa sumu Et kwasababu unakiu kilakitu na wakatiwake hivi mkeo angekuwa Hana sifa unazotak angekuwa mkeo Leo hii??
Sawa bby nimeachaAcha kujikomba mwenzio nilijikomba nikawekewa x kubwa tu nyekundu
Ata kwapaniSina pa kukuweka π€£π
Nyie wa humunmna maneno machafu mtasema mmekunywa maji ya chooni ππWee bwana wa mtaani ndio sie wakina mzabzab wa jf. Wanaume ni wale wale tunapenda mbususu na tunachepuka sasa wee shupaza shingo siku zinaenda
Lakini uliona ni mtu sahihi kwako ndio maana mkafikia maamuz ya kuoana na mmedumu Sasa nikutane na mlevi huko et niolewe tu Bora nife single tu aiseeBinafsi nilikutana na mke wangu yeye akiwa na age 20, mimi 28; sasa mtoto wa kwanza yuko sekondari, na sijawahi kujutia, tukiwa pamoja unaweza hisi labda tuna wiki moja kwenye ndoa.
Muhimu upate mtu sahihi tu.
Usiogope sina madhara mimi, tutapeana fursa kama za kilimo cha watoto, nyanya, matikiti π πAku sitaki marafiki wa kiume
Kinachowafanya watu wengi wasiolewe ni mazingira wanayojiwekea, hasa maisha ya kuigizaLakini uliona ni mtu sahihi kwako ndio maana mkafikia maamuz ya kuoana na mmedumu Sasa nikutane na mlevi huko et niolewe tu Bora nife single tu aisee
wengine tulishawahi kupigwa matukio hadi na wazazi [emoji55],, tunapowaambia trust nobody muwe mnaelewa[emoji850]
mkuu ππΌthat's why nilisema mwanzoni mimi binafsi siamini mtu sikusema wote tusiwaamini watuHapana, experience ina vary, just because wazazi waki walikupiga tukio it doesnt mean wengine watapitia the same
Sijui Hao Sasa Mimi Bado nikiwa tayari nitakualikaKinachowafanya watu wengi wasiolewe ni mazingira wanayojiwekea, hasa maisha ya kuigiza
Haina shida, nitakuja na vimbuzi viwili ili tupate supuSijui Hao Sasa Mimi Bado nikiwa tayari nitakualika
Karibu sanaHaina shida, nitakuja na vimbuzi viwili ili tupate supu
Range ya umri ikoje kwanza 35-40 au 28-34?Karibu sana
Mimi mapenz yalishanitesa sana now napumzika kwanza nipate shavu looh ππ
AiseeeNdio reaction iliyo karibu nikichukia [emoji3][emoji3]ila siwez Lia mbele za watu lakin pekeyangu nakiangusha sana tu [emoji119][emoji3][emoji3]
35 to 40Range ya umri ikoje kwanza 35-40 au 28-34?
Una kazi kubwa ya kufanya hapa, bila hivyo kutakuwa na changamoto huko mbeleni ya kutembea na waume za watu au viben 1035 to 40
SanaNyie wa humunmna maneno machafu mtasema mmekunywa maji ya chooni ππ
Nikiwaza kuchepuka tu nguvu zinaniisha Yaniππ
Asante ndugu mtumishiπUna kazi kubwa ya kufanya hapa, bila hivyo kutakuwa na changamoto huko mbeleni ya kutembea na waume za watu au viben 10
Ukitaka maombezi, nipo hapa kwa ajili yakoAsante ndugu mtumishiπ