Unamuona huyu Mwanamke?

Nilikua na demu namtumia hela anazrudisha🤣afu kesho yake ananiomba najikuta nimempa Ila Sasa Baada ya kupita miaka mitatu si akaja akawa kapigika akaanza Tena hela akijua mimi bado mnyonge Akaja kuniomba hela jibu lilikuwa ni moja tu "choma kidole cha matackle yako afu ujinuse huko ndo hela zitatoka" 🤣
Anakutesa kweli yaan😔
 
🤣🤣🤣🤣Uko na mdomo kweli🥴
 
Huyu mwanamke yuko sahihi
 
Kilichomrudisha baada ya miak hiyo ni nini?
 
Kwa kijana anaejitafuta, kununua utamu kwa malaya inaokoa sana mda kuliko kuwa na mahusiano.

Mambo ya mahusiano waachie wazee maana wao wana mda na pesa, we unaejitafuta huna muda na pesa huna nunua tu malaya, la sivyo utashindwa kufocus na umri utakuacha.


Think about it✌️
 
Unahamasisha ujinga tu! Unajua kununua malaya Ina risk kiasi gan mimi nimekula sana bitches wa kununua kusema ukweli ni upuuzi tu bora ungewashauri vijana wawe Ata hobbies kupunguza mda wa kuwaza mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…