Umeongea kitu kikubwa SanaMpe ziada inayobaki baada ya wewe, na mpe kile ambacho uko tayari kukipoteza bila maumivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea kitu kikubwa SanaMpe ziada inayobaki baada ya wewe, na mpe kile ambacho uko tayari kukipoteza bila maumivu
Dahh nkma sana, umenikumbusha mbali sana, umenikumbusha siku tumezinguana na demu niliempiga chini katika kuongea ongea na kumlaumu mambo yake si nikajibiwa "KWANI NILIKUOMBA". Ktk moja ya mambo niliowahi kufanya kwake.Unamuona huyo mwanamke ? kwa kifupi huyo mwanamke unae mfanyia kila kitu kwa hali na mali ?
Jitihada zako hazina maana kwake .Niamini mimi nakuambia hii leo ,hii haina maana kwamba nawachukia wanawake .. huo ndio uhalisia kataa kubali!!
“ Mwanamke hajali kile unachomfanyia ukilinganisha na kile anachokufanyia wewe” SOMA TENA.
Ndio atajisikia furaha, na kukuita majina yote mazuri unayoyajua na hata kukuambia asante mara 700,hata kukupa ngono utakapo hitaji kukuonesha kwamba na yeye anajali .. LAKINI UKWELI NI KWAMBA HATHAMINI JITIHADA ZAKO JUU YAKE.
Unajua anathamini nini ni jitihada alizozifanya juu yako ,mda ,pesa ,hisia na kila kitu alicho wekeza juu yako. Yess 100% she value that.
Ok sasa nirudi kwenye andiko langu na wala usininukuu vibaya. Elewa kwamba sina maana ya kwamba usifanye kitu chochote kwa mpenzi wako , hapana wewe mpe upendo ,pesa, care ,attention na takataka zote utakazo weza. But mpe kwa kiasi ambacho hautakuja kulia machozi ya samaki ziwani.
kwa kila kitu unachompa mwanamke hesabu hasara.
Kamwe usitumaini kwamba jitihada zako atazirudisha, Ni kama kupanda mtu ,ukitoa matunda sawa na usipotoa iwe sawa pia.
Kwasababu huyo huyo mwanamke anaekuambia” asante kwa kila jambo unalomfanyia” ndio mwanamke huyo huyo atae kuambia “sikukulazimisha kufanya kila kitu juu yangu” na ndio mwanamke hyo huyo atae kuuliza “ umefanya nini cha thamani juu yangu”.
Mwisho
#Mangungu tuachie timu yetu mView attachment 3131489
Wana majibu ya ovyo ukiwa na moyo wa nyama kumbamiza 😅😅Dahh nkma sana, umenikumbusha mbali sana, umenikumbusha siku tumezinguana na demu niliempiga chini katika kuongea ongea na kumlaumu mambo yake si nikajibiwa "KWANI NILIKUOMBA". Ktk moja ya mambo niliowahi kufanya kwake.
Unasubiri nini kuondoka kijana?Nakubaliana na wewe zaidi ya 100%. Huyu wa kwangu namfanyia kila kitu. Lakini ananitangaza kwa watu kwamba mimi ni chizi.
Asantee kwa ushaurMapenzi usiyachukulie serious sana kiongozi, yatakuumiza vibaya na kukupotezea direction.
Si kweli, game la pesa ndio PuzzleGame la mapenzi ni kama puzzle