Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana animal phobia ni zoophobia.Hiyo inaitwa animal phobia
Mmmmh inategemea na reaction yake bro.Chukua Moja ya wadudu anao waogopa mshikishe mkononi hatoogopa tena
Mpe msaada bhanaaaHapana animal phobia ni zoophobia.
Hii ni entomophobia.
Na ni suala la adrenaline reaction kuli manage inakua ngumu kidogo
wabongo walimdakia mleta uzi kwamba anadeka. wabongo hatujawahi kumiliki akili. hizo phobia mimi ninayo ya magari. nikipanda gari moyo unalipuka ikiwa inakimbizwa au kwenye two lanes mfano gari za mikoani zikiwa zinapishana na magari mengine. na suffer hiyo trauma toka nazaliwa ikaongezeka baada ya kupata ajali mara 3 za gari maishani.Ana entomophobia.
Hiyo aisee inakua ngumu kui manage.
Ni trypophobia mkuu.
Niamini hiyo ni tatizo linalosababishwa na afya ya akili so nenda katika vituo vya afya Kwa sababu tulikuwa nae mtu wa namna hiyo home pale alikuwa ni mother wangu na alivyoenda hospital wakali solve safi kabisaLeo katika kuperuzi peruzi mtandaoni akakutana na picha ya mfano wa hizo yaani mpaka simu alifanya kuitupa, yaani akawa kama mtu kadata.
Yaani mkipita mahali ukaona hali ya vitu kama hivyo inabidi ufanye ujanja asione..
Aisee teyari ushakuwa traumatized mkuu.w
wabongo walimdakia mleta uzi kwamba anadeka. wabongo hatujawahi kumiliki akili. hizo phobia mimi ninayo ya magari. nikipanda gari moyo unalipuka ikiwa inakimbizwa au kwenye two lanes mfano gari za mikoani zikiwa zinapishana na magari mengine. na suffer hiyo trauma toka nazaliwa ikaongezeka baada ya kupata ajali mara 3 za gari maishani.
Kama wema sepenga...😂Anademka...!
Inategemea mkuu ilisababishwa na nini.Maana phobia husababishwa na sababu kama;Niamini hiyo ni tatizo linalosababishwa na afya ya akili so nenda katika vituo vya afya Kwa sababu tulikuwa nae mtu wa namna hiyo home pale alikuwa ni mother wangu na alivyoenda hospital wakali solve safi kabisa
Ikijulikana chanzo nini inaweza kutatulika kulingana na chanzo.Mpe msaada bhanaaa
Hizi shule zinawaharibu sana kijana....Insect phobia hiyo. Anyway si lazima akutane na vitu kama hivyo.
Kwa wewe madam hilo ni suala la kisaikolojia tena.Mi naogopa maji mengi ndio mana sipendi kuishi dar so, naogopa vitu vitambaavyo kama nyoka , mjusi , ngala, kenge, so kila mtu anaogopa vitu vyake
Mawazo hapana hana.Inategemea mkuu ilisababishwa na nini.Maana phobia husababishwa na sababu kama;
1)Matukio ulopitia kulingana na unachokiogopa kama kung'atwa na wadudu n.k.
2)Hali za genetiki,
3)Mawazo kupitiliza.
4)Hali ya adrenaline response to fear.
Sasa hapa physician anakutibu kulingana na sababu.
Je shemeji yetu kwa mtoa mada yupo kundi gani??
Na mende unaogopaMi naogopa maji mengi ndio mana sipendi kuishi dar so, naogopa vitu vitambaavyo kama nyoka , mjusi , ngala, kenge, so kila mtu anaogopa vitu vyake