Unamuondoleaje mtu hofu ya vitu kama wadudu

Unamuondoleaje mtu hofu ya vitu kama wadudu

Nilikua na hiyo shida mpaka natoka vipele kama vya barid
Majan yakiwa kama na vinundu nundu, miti ilotoboka hao wadudu ndo usiseme sijui imepunguaje
Saii naweza kutizama mwili usisimkwe saana.
Hadi usiku nilikua naota
Kama majongoo yanavyotembea nikiona lazima niteseke kulala
Umenikumbusha bi maza,anaweza kumuua nyoka peke ake bila uoga,ila akiona jongoo vile anajongea, anatetemeka hadi ana freeze...tho kila mtu ana phobia yake..
 
SIjui ugonjwa unaitwaje ila kila mtu anao,wengine ndio hivyo unazidi,kuna kukosa utulivu flani ukiona wadudi ktk hali hii,hata kufanya kuwaza kuwadhuru.

Mimi siafu wamenikoma sana,nilikuwa nanunua mpaka mafuta ya taa nikawachome na nimewakuta mbali kabisa na maeneo ninapoishi.,manyigu nimewapa tabu sana.

Dawa hapo ni kumuacha awadhuru kwa mikono yake kama mimi nilivyofanya ili nafsi yake isuuzike,sio kumuonyesha picha.
 
Magonjwa yakizungu yanapamba moto nchi hii bila kusahau kubwa lao UTI.
 
Ni kweli unachosema mkuu lakini generally lazima TU concluded kuwa ni tatizo la akili yaani iwe itakavyo kuwa imesababishwa na Nini lakini mwisho tutarudi hapo tu kuwa ni shida hiyo
Sahihi mkuu ila kuna mawili hapo ndio yanashabihiana zaidi na saikolojia moja kwa moja.
Ila kuna mawili adrenaline reaction ndio inaichochea saikolojia.
 
Nilikua na hiyo shida mpaka natoka vipele kama vya barid
Majan yakiwa kama na vinundu nundu, miti ilotoboka hao wadudu ndo usiseme sijui imepunguaje
Saii naweza kutizama mwili usisimkwe saana.
Hadi usiku nilikua naota
Kama majongoo yanavyotembea nikiona lazima niteseke kulala
Yaani wewe ndie yeye hivyo hivyo.. yaani hata mkiwa mnaangalia movie yakipita madude tu ya ajabu ajabu yenye matobo tobo au wadudu wamelindikana ni kisanga.

Yaani sijui nyuki, au masega ni anashika hadi kichwa.
 
Mimi kuna nyoka na dawa za vidonge, ukitaka nikuumize wewe niletee hata picha yake tu.
 
SIjui ugonjwa unaitwaje ila kila mtu anao,wengine ndio hivyo unazidi,kuna kukosa utulivu flani ukiona wadudi ktk hali hii,hata kufanya kuwaza kuwadhuru.

Mimi siafu wamenikoma sana,nilikuwa nanunua mpaka mafuta ya taa nikawachome na nimewakuta mbali kabisa na maeneo ninapoishi.,manyigu nimewapa tabu sana.

Dawa hapo ni kumuacha awadhuru kwa mikono yake kama mimi nilivyofanya ili nafsi yake isuuzike,sio kumuonyesha picha.
Yaani akiona wale pale anachanganyikiwa anashika kichwa.. anakimbia..
 
Paka, nyau ni viumbe ambavyo pamoja kua mtu mzima huwa sipendi wanisogelee au kupita karibu yangu

Nina allergies nao yaan Kama Yale ma paka ya hotelini na bar au nikienda ugenini sipendi wanisogelee paka huwa nakosa Raha na amani inatoweka.

Mimi napenda mbwa Sanaa Ila paka mbali mbali
 
Hello Jf.

Kuna partner wangu umri ni 30+
Jinsia KE

Yaani ana hofu mno na vitu kama nyuki waliorundikana, uyoga, au wadudu wowote wamerundikana rundikana au viumbe vyovyote hasa wadudu. Yaani anasisimka mpaka analia ni unaanza kumbembeleza na kumuonea horuma yaani anakuwa kama amechanganyikiwa.

Leo katika kuperuzi peruzi mtandaoni akakutana na picha ya mfano wa hizo yaani mpaka simu alifanya kuitupa, yaani akawa kama mtu kadata.
Yaani mkipita mahali ukaona hali ya vitu kama hivyo inabidi ufanye ujanja asione..
Aisee hivi hakuna njia ya kumuondolea hofu ya kiasi hicho?
Japo hata mimi vitu vya aina huyo kiukweli huwa nasisimka ila sio kama yeye.

Mfano picha kama hizi.

View attachment 3095967View attachment 3095968View attachment 3095970
Mmoja namfahamu hata kuku alikuwa hawezi kumshika. Ukimkamata kuku ukampa mkononi ashike ataruka kama kaona nyoka. Ni ukweli sio chai.
 
Hello Jf.

Kuna partner wangu umri ni 30+
Jinsia KE

Yaani ana hofu mno na vitu kama nyuki waliorundikana, uyoga, au wadudu wowote wamerundikana rundikana au viumbe vyovyote hasa wadudu. Yaani anasisimka mpaka analia ni unaanza kumbembeleza na kumuonea horuma yaani anakuwa kama amechanganyikiwa.

Leo katika kuperuzi peruzi mtandaoni akakutana na picha ya mfano wa hizo yaani mpaka simu alifanya kuitupa, yaani akawa kama mtu kadata.
Yaani mkipita mahali ukaona hali ya vitu kama hivyo inabidi ufanye ujanja asione..
Aisee hivi hakuna njia ya kumuondolea hofu ya kiasi hicho?
Japo hata mimi vitu vya aina huyo kiukweli huwa nasisimka ila sio kama yeye.

Mfano picha kama hizi.

View attachment 3095967View attachment 3095968View attachment 3095970
Mm huwa nasisimka sana sipendi nyuki at list ila nzi naweza ata chakula nikikumbuka naweza nisile au usingizi kwa tabu mnoo NZI
 
Back
Top Bottom