Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Hujaona mawashawasha wewenamuonea sana huruma kiufupi mimi sina uoga na vitu vya asili ata kidogo
wajuzi wa mambo haya wanakuja watamsaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaona mawashawasha wewenamuonea sana huruma kiufupi mimi sina uoga na vitu vya asili ata kidogo
wajuzi wa mambo haya wanakuja watamsaidia
Basi suala la adrenaline response to fear.Mawazo hapana hana.
Matukio ya nyuma hapana.
Yaani ni hofu tu kuona wadudu hao madude madude kama aliyopost mdau hapo. Hata mimi yananisisimua. Ila sio kwa kiwango kama chake ndio maana namuelewa anavyojihisi..
Yaani yanakusimumua tu ili hali hata ukimuuliza kwani unahisije huwezi kuwa na jibu. Yanatakudhuru hapana.
Hapana nampa za usoNa mende unaogopa
HapanaKwa wewe madam hilo ni suala la kisaikolojia tena.
Kwanini unasema hapana?Hapana
Sina hata wewe niliambiwa unaogopa ukiitwa mwizoKwanini unasema hapana?
😂😂😂Haimaanishi kama una matatizo ya kisaikolojia laa hasha.
mwizo ndio nini madam??Sina hata wewe niliambiwa unaogopa ukiitwa mwizo
Hapo inatumika njia Moja kuua hiyo phorbia! Sio lazima umshikishe wadudu wote duniani Ila itamfanya awe na general concept ya wadudu wote kutibu phorbia aliyo nayo! Njia ya pili aende Kwa Mtaalam wa wildlife ampe positive life ya HAO wadudu nk japo hii am not much sure! Kuna negative concept anayo kuhusu HAO waduduMmoja wala sio ishu angalia picha pia kama zimepostiwa hapo.
SawaMmmmh inategemea na reaction yake bro.
Unaweza ukamzima ghafla huo ni ushauri mbaya sana.
Mwizi na nasikia ulinifumaniwa ukazimiamwizo ndio nini madam??
Ni kweli unachosema mkuu lakini generally lazima TU concluded kuwa ni tatizo la akili yaani iwe itakavyo kuwa imesababishwa na Nini lakini mwisho tutarudi hapo tu kuwa ni shida hiyoInategemea mkuu ilisababishwa na nini.Maana phobia husababishwa na sababu kama;
1)Matukio ulopitia kulingana na unachokiogopa kama kung'atwa na wadudu n.k.
2)Hali za genetiki,
3)Mawazo kupitiliza.
4)Hali ya adrenaline response to fear.
Sasa hapa physician anakutibu kulingana na sababu.
Je shemeji yetu kwa mtoa mada yupo kundi gani??
Vitu hivi viwili vina uhusiano gani kati ya kuogopa wadudu na kupelekewa Moto? Daah umenifurahisha Sana kamanda.Ana kuigizia mpelekee moto wanawake ni waigizaji wazuri
natoka mbeya broHujaona mawashawasha wewe
Sijui mnaishi mazingira gani. Mimi kwangu hamna hivyo vituKtk mazingira yetu ni vitu havikwepeki.
Tuliza kipago. Utaliwa kavu kavu bi mdogoHizi shule zinawaharibu sana kijana....
Yaani siku ukija niambia huo upuuzi jitakutandika khelbu hadi utasahau hicho kingereza chenu yenye mnaita sijui "ohh inisekiti ferari"...😠