Unamuondoleaje mtu hofu ya vitu kama wadudu

w
Ana entomophobia.
Hiyo aisee inakua ngumu kui manage.
wabongo walimdakia mleta uzi kwamba anadeka. wabongo hatujawahi kumiliki akili. hizo phobia mimi ninayo ya magari. nikipanda gari moyo unalipuka ikiwa inakimbizwa au kwenye two lanes mfano gari za mikoani zikiwa zinapishana na magari mengine. na suffer hiyo trauma toka nazaliwa ikaongezeka baada ya kupata ajali mara 3 za gari maishani.
 
Nenda mkatalii kitulo kuna wadudu wengi, watamsaidia na atakutana na wataalam wa kazi hizo
 
Leo katika kuperuzi peruzi mtandaoni akakutana na picha ya mfano wa hizo yaani mpaka simu alifanya kuitupa, yaani akawa kama mtu kadata.
Yaani mkipita mahali ukaona hali ya vitu kama hivyo inabidi ufanye ujanja asione..
Niamini hiyo ni tatizo linalosababishwa na afya ya akili so nenda katika vituo vya afya Kwa sababu tulikuwa nae mtu wa namna hiyo home pale alikuwa ni mother wangu na alivyoenda hospital wakali solve safi kabisa
 
Aisee teyari ushakuwa traumatized mkuu.
Yani hadi saikolojia yako ikae sawa kwenye hilo jambo yahitaji muda na wewe pia kujiamini kuwa hakuna kitakachokutokea.
 
Niamini hiyo ni tatizo linalosababishwa na afya ya akili so nenda katika vituo vya afya Kwa sababu tulikuwa nae mtu wa namna hiyo home pale alikuwa ni mother wangu na alivyoenda hospital wakali solve safi kabisa
Duuh asante.
 
Niamini hiyo ni tatizo linalosababishwa na afya ya akili so nenda katika vituo vya afya Kwa sababu tulikuwa nae mtu wa namna hiyo home pale alikuwa ni mother wangu na alivyoenda hospital wakali solve safi kabisa
Inategemea mkuu ilisababishwa na nini.Maana phobia husababishwa na sababu kama;
1)Matukio ulopitia kulingana na unachokiogopa kama kung'atwa na wadudu n.k.
2)Hali za genetiki,
3)Mawazo kupitiliza.
4)Hali ya adrenaline response to fear.
Sasa hapa physician anakutibu kulingana na sababu.
Je shemeji yetu kwa mtoa mada yupo kundi gani??
 
Insect phobia hiyo. Anyway si lazima akutane na vitu kama hivyo.
Hizi shule zinawaharibu sana kijana....
Yaani siku ukija niambia huo upuuzi jitakutandika khelbu hadi utasahau hicho kingereza chenu yenye mnaita sijui "ohh inisekiti ferari"...😠
 
π™·πš’πš•πš˜ πšπšŠπšπš’πš£πš˜ πš—πš’ πš”πš πšŽπš•πš’ πš‹πšŠπšŠπšπš‘πš’ 𝚒𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚞 πš πšŠπš—πšŠπš•πš˜. πš–πš’πš–πš’ πš™πš’πšŠ πš πš’πšπšŽ πšŠπš•πš’πš”πšžπš πšŠ πšŠπš”πš’πšŠπš—πšπšŠπš•πš’πšŠ πšŸπš’πšπšŽπš˜/πš™πš’πšŒπš‘πšŠ 𝚣𝚊 𝚠𝚊𝚍𝚞𝚍𝚞 πš πšŠπš•πš’πš˜πš›πšžπš—πšπš’πš”πšŠπš—πšŠ πšŠπš—πšŠπšœπš’πšœπš’πš–πšžπš”πšŠ πš‘πšŠπšπš’ πš—πšπš˜πš£πš’ πš’πš—πšŠπš”πšžπš πšŠ πš—πšŠ πšŸπš’πš™πšŽπš•πšŽ πš”πšŠπš–πšŠ 𝚟𝚒𝚊 πš‹πšŠπš›πš’πšπš’.
πš£πšŠπš–πšŠπš—πš’ πš—πš’πš•πš’πš“πšžπšŠ πšŠπš—πšŠπš“πš’πšπšŠπš—πš’πš’πšœπš‘πšŠ, 𝚜𝚊𝚜𝚊 πš—πš’πš”πšŠπšŒπš‘πšžπš”πšžπšŠ πšœπš’πš–πšž πš’πšŠπš”πšŽ πš—πš’πš”πšŠπš’πš—πšπš’πšŠ πš’πš—πšœπšπšŠ πš—πš’πš”πšŠπš πšŠ πš—πšŠπšœπšŽπšŠπš›πšŒπš‘ πš›πšŽπšŽπš•πšœ 𝚣𝚊 πš–πšπš’πš—πšπš˜ πš‘πšžπš˜. πš–πšπšŠπš—πš˜ πš‹πšŽπšπš‹πšžπšπšœ πš”πš’πš‹πšŠπš˜ πš πšŠπš™πš˜ πš”πš’πšŒπš‘πš πšŠπš—πš’ πš”πš πšŠ πš–πšπšž, 𝚜𝚊𝚜𝚊 πš—πšŠ 𝚒𝚎𝚒𝚎 πš›πšŽπšŽπš•πšœ πš πšŠπš•πš’πš£πš˜πš”πšžπš πšŠ πš πšŠπš—πšŠπš–πš•πšŽπšπšŽπšŠ πš—πš’ 𝚣𝚊 πšŠπš’πš—πšŠ πš‘πš’πš’πš˜ 𝚝𝚞𝚞. πšŠπš•πš’πšπšŽπšœπšŽπš”πšŠ πšœπšŠπš—πšŠ. πš—πš’πš•πš’πšŸπš’πš˜πš”πšžπš“πšŠ πš”πšžπš“πšžπšŠ πšπšŠπšπš’πš£πš˜ πšœπšŽπš›πš’πš˜πšžπšœ πš—πš’πš•πš’πš–πš πš˜πš–πš‹πšŠ πš–πšœπšŠπš–πšŠπš‘πšŠ πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mawazo hapana hana.
Matukio ya nyuma hapana.

Yaani ni hofu tu kuona wadudu hao madude madude kama aliyopost mdau hapo. Hata mimi yananisisimua. Ila sio kwa kiwango kama chake ndio maana namuelewa anavyojihisi..
Yaani yanakusimumua tu ili hali hata ukimuuliza kwani unahisije huwezi kuwa na jibu. Yanatakudhuru hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…