Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Umenikumbusha bi maza,anaweza kumuua nyoka peke ake bila uoga,ila akiona jongoo vile anajongea, anatetemeka hadi ana freeze...tho kila mtu ana phobia yake..Nilikua na hiyo shida mpaka natoka vipele kama vya barid
Majan yakiwa kama na vinundu nundu, miti ilotoboka hao wadudu ndo usiseme sijui imepunguaje
Saii naweza kutizama mwili usisimkwe saana.
Hadi usiku nilikua naota
Kama majongoo yanavyotembea nikiona lazima niteseke kulala
Umemaliza Kila kituAna kuigizia mpelekee moto wanawake ni waigizaji wazuri
Aaaah acha hizo madam.Mwizi na nasikia ulinifumaniwa ukazimia
Sahihi mkuu ila kuna mawili hapo ndio yanashabihiana zaidi na saikolojia moja kwa moja.Ni kweli unachosema mkuu lakini generally lazima TU concluded kuwa ni tatizo la akili yaani iwe itakavyo kuwa imesababishwa na Nini lakini mwisho tutarudi hapo tu kuwa ni shida hiyo
Yaani wewe ndie yeye hivyo hivyo.. yaani hata mkiwa mnaangalia movie yakipita madude tu ya ajabu ajabu yenye matobo tobo au wadudu wamelindikana ni kisanga.Nilikua na hiyo shida mpaka natoka vipele kama vya barid
Majan yakiwa kama na vinundu nundu, miti ilotoboka hao wadudu ndo usiseme sijui imepunguaje
Saii naweza kutizama mwili usisimkwe saana.
Hadi usiku nilikua naota
Kama majongoo yanavyotembea nikiona lazima niteseke kulala
Yaani akiona wale pale anachanganyikiwa anashika kichwa.. anakimbia..SIjui ugonjwa unaitwaje ila kila mtu anao,wengine ndio hivyo unazidi,kuna kukosa utulivu flani ukiona wadudi ktk hali hii,hata kufanya kuwaza kuwadhuru.
Mimi siafu wamenikoma sana,nilikuwa nanunua mpaka mafuta ya taa nikawachome na nimewakuta mbali kabisa na maeneo ninapoishi.,manyigu nimewapa tabu sana.
Dawa hapo ni kumuacha awadhuru kwa mikono yake kama mimi nilivyofanya ili nafsi yake isuuzike,sio kumuonyesha picha.
Hapana ni Entomophobia kwa waduduHiyo inaitwa animal phobia
Hivi hakuna hypnotherapy bongo hii ingemsaidia sanaAna entomophobia.
Hiyo aisee inakua ngumu kui manage.
Mmoja namfahamu hata kuku alikuwa hawezi kumshika. Ukimkamata kuku ukampa mkononi ashike ataruka kama kaona nyoka. Ni ukweli sio chai.Hello Jf.
Kuna partner wangu umri ni 30+
Jinsia KE
Yaani ana hofu mno na vitu kama nyuki waliorundikana, uyoga, au wadudu wowote wamerundikana rundikana au viumbe vyovyote hasa wadudu. Yaani anasisimka mpaka analia ni unaanza kumbembeleza na kumuonea horuma yaani anakuwa kama amechanganyikiwa.
Leo katika kuperuzi peruzi mtandaoni akakutana na picha ya mfano wa hizo yaani mpaka simu alifanya kuitupa, yaani akawa kama mtu kadata.
Yaani mkipita mahali ukaona hali ya vitu kama hivyo inabidi ufanye ujanja asione..
Aisee hivi hakuna njia ya kumuondolea hofu ya kiasi hicho?
Japo hata mimi vitu vya aina huyo kiukweli huwa nasisimka ila sio kama yeye.
Mfano picha kama hizi.
View attachment 3095967View attachment 3095968View attachment 3095970
Mm huwa nasisimka sana sipendi nyuki at list ila nzi naweza ata chakula nikikumbuka naweza nisile au usingizi kwa tabu mnoo NZIHello Jf.
Kuna partner wangu umri ni 30+
Jinsia KE
Yaani ana hofu mno na vitu kama nyuki waliorundikana, uyoga, au wadudu wowote wamerundikana rundikana au viumbe vyovyote hasa wadudu. Yaani anasisimka mpaka analia ni unaanza kumbembeleza na kumuonea horuma yaani anakuwa kama amechanganyikiwa.
Leo katika kuperuzi peruzi mtandaoni akakutana na picha ya mfano wa hizo yaani mpaka simu alifanya kuitupa, yaani akawa kama mtu kadata.
Yaani mkipita mahali ukaona hali ya vitu kama hivyo inabidi ufanye ujanja asione..
Aisee hivi hakuna njia ya kumuondolea hofu ya kiasi hicho?
Japo hata mimi vitu vya aina huyo kiukweli huwa nasisimka ila sio kama yeye.
Mfano picha kama hizi.
View attachment 3095967View attachment 3095968View attachment 3095970