Elections 2010 Unamuunga mkono Dr. Slaa kugombea URAIS mwaka 2010? Jiandikishe hapa

Elections 2010 Unamuunga mkono Dr. Slaa kugombea URAIS mwaka 2010? Jiandikishe hapa

HOPE DIES LAST


Hayawi hayawi yamekuwa. Wengine walitucheka ila ninaamini kuwa JF tumechangia Dr. Slaa kubadili mawazo na kugombea. Asanteni wote waliojiandikisha hadi namba 95. Ila sasa lazima MJE wengi kuunga mkono na IDADI yetu iwe kubwa ya kutisha. Nina imani sasa kufika zaidi ya 1,000 hadi mwezi ujao mwishoni. Na hawa 1,000 wataenda kutengeneza wengine walau 20 kila mmoja.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

1.Dr. Slaa 2.MKANDARA 3.King of kings 4.Masanilo kugema 5.Fidel80

6.Bht 7.Tanzania 8.Ndege ya Uchumi 9.Jiwe 10.Jakathesi

11.Technician 12.Kilembwe 13.Ndjabu Da Dude 14.Bollo Yeng 15.Selous

16.Nyamizi 17.Mfwatiliaji 18.Sikonge 19.Ben 20.Lorah

21.Chief 22.Alpha 23.Malunde-Malundi 24.Muhindi 25.Nanu

26.Betina 27.Baija Bolobi 28.Epigenetics 29.Member 911 30. Mlalahoi

31.Mag3 32.Nndondo 33.Tai Ngwilizi 34.Sn2139 35.Shalom

36.Mc 37.Firstlady1 38.Henge 39.Nemesis 40.Mchili

41.Ngambo Ngali 42.Positive Thinker 43.Advocate Jasha 44.Zhule 45.Araway

46.Pasco 47.Mbu 48.The Invincible 49.Vivian 50.Daughter

51.Deo 52.Holowane 53.Kingi 54.Tzpride 55.Mzee Punch

56.Kiby 57.Mtangi 58.Birigita 59.Rwabugiri 60.Suzzie

61.Omutwale Kanyigo 62.BabaDesi 63.Bullet 64.Kinya 65.Mwasi

66.Geza ulole 67.Tuandamane 68.Dingswayo 69.Kitia 70.Kiwi

71.Kodabosi 72.Cammory 73.Babu M 74.Wa Mjengoni 75.Mzawa Halisi

76.Kungurumweupe 77.Njilembera 78.MpigaFilimbi 79.Mageuzi1992 80.Kilemi

81.Kwame Nkrumah 82.Carthbertl 83.Mageuzi1992 84.Kamende 85.MJM


86.Allydou 87.Original Pastor 88.Nono 89.Isaya Mwita 90.Mfalme

91.Saitama Kein 92.Pilato2006 93.Augustine Moshi 94.Kipipili 95.Masikini Jeuri.

Tumeshafika 90 huraaa!!!!!, lengo ni 100 hadi mwisho wa mwezi.

(Andika jina lako tu na mie nitaongeza kwenye listi)
hiyo list vipi mbona iko vile vile tuuuuuuuu!!!!?????????????????????????????????
 
ila sijapata logic behind kuhusu uamuzi wa Chadema kumsimamisha Slaa, why hawaja-support other opposition party candidate e,g. Lipumba. naona vile ikitoea akakosa uraisi tutammiss sana bungeni huyu mbunge maridhawa mtu wa watu!!
hata hivyo hongera Dr. Slaa
 
Mi tayari nimesha elimisha ndugu zangu 50 kijijini leo umuhimu wa kutumbukiza kura kwa Dr.Slaa.
 
Mimi naona hii ni serious miscalculation. Dr Slaa ametufaa sana katika nchi hii katika nafasi ya ubunge. Nina uhakika mchango wake baada ya uchaguzi huu utakuwa mchango finyu sana na tena usio na nguvu yoyote maana atakuwa anazungumza kama mgombea urais aliyeshindwa, atakachosema itahesabiwa ni 'maneno ya mkosaji', na ataingia rasmi katika fungu la 'wapuuzwa' akina Mrema, Lipumba etc. What a wrong move ya kutusababisha kumkosa Dr Slaa bungeni! Yaani hapo tutakosa vyote, urais hapati na ubunge keshautema! Too bad! I am mourning!
 
Wanasema mji ni watu. Hapa mie hongera kwa kweli naona bado. Wanaostahili hongera ni wale wote walijiandikisha tangu mwanzo kuanza kushinikiza Dr. Slaa agombee. Nina imani kabisa kuwa katika mawazo yake, basi aliwakumbuka na hawa watu 94+yeye wa JF kuwa na wao wanamtaka na JESHI hilo lipo tayari kuandaa wapiganaji wengine wengi huko mbeleni.

Mpambano ndiyo unaanza. Siku tukimaliza kazi naona ndiyo utakuwa wakati mwanana wa KUPONGEZANA,

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
:target:Hongera sana Sikonge. Hatimae watanzania angalau tuna matumaini tena na kauli za kusema ni lazima tuwe na JK miaka mingine mitano ziishie hapohapo. Yanawezekana watanzania tukafanya U-turn. Nothing for granted.
 
Kimsingi mimi namkubali Dr. Slaa, lakini kwa miaka hii mitano tu kafanya ya kuosha bale mjengoni. hebu tumwache naye hiimiaka mitano naye afanye mambo then baada ya hapo ndo tumpe nafasi hiyo.
Lakini kwa sasa tutakuwa tunamuuza kisiasa kama siyo kumpoteza kabisa. CCM sasa hivi wanashangilia sana na itafika mda wannchi wataona hii hali ngumuu na wataamua tu waachane nayo. kwa sasa wadanganyika wameongezeka kiasi kikubwa sana na ukimpeleka mtu mwenye calibre kama ya DR Slaa tutamkosea haki. kwanza Upinzani waanze mapema kujitandaza kwenye majimbo yote na halafu ndo wampeleke kafara Dr. wa watu.
 
Wandugu zangu,
Hapa ni kujiandikisha tu na hatujadili kitu kingine zaidi ya KUJIANDIKISHA kwenye listi.
Kama unaona HAFAI na au ATAPOTEZA ubunge, basi kuna thread wanajadili hayo. Huko kuna maelezo ya kutosha kwa nini wengine wanaona kuwa INAFAA agombee Urais bila ya kujali atapoteza au hatapoteza. Hapa watu hawaingii kusoma maelezo yenu. Sanasana wanaishia ukurasa wa kwanza kuangalia wamefika watu wangapi.
ila sijapata logic behind kuhusu uamuzi wa Chadema kumsimamisha Slaa, why hawaja-support other opposition party candidate e,g. Lipumba. naona vile ikitoea akakosa uraisi tutammiss sana bungeni huyu mbunge maridhawa mtu wa watu!!
hata hivyo hongera Dr. Slaa

Mimi naona hii ni serious miscalculation. Dr Slaa ametufaa sana katika nchi hii katika nafasi ya ubunge. Nina uhakika mchango wake baada ya uchaguzi huu utakuwa mchango finyu sana na tena usio na nguvu yoyote maana atakuwa anazungumza kama mgombea urais aliyeshindwa, atakachosema itahesabiwa ni 'maneno ya mkosaji', na ataingia rasmi katika fungu la 'wapuuzwa' akina Mrema, Lipumba etc. What a wrong move ya kutusababisha kumkosa Dr Slaa bungeni! Yaani hapo tutakosa vyote, urais hapati na ubunge keshautema! Too bad! I am mourning!
 
Mkuu Fidel80,

Safi sana na HONGERA kwa kazi unayoifanya. Hii ndiyo ninasema kuwa muda umefika kwa WASOMI wa Tanzania (achana na Vihiyo na wale waliosoma bila kuelimika) kuanza kutumia elimu yao kubadili maisha yao. Kitendo cha Waalimu wazima Wa Vyuo Vikuu kuwa wamenunuliwa na Wanasiasa ambao wengine hata form six hawakufika, inakuwa AIBU SANA.

Muda umefika wa Walimu wa Chuo kikuu kuwa walimu na siyo Madereva wa daladala au Wafuga kuku/ngo'ombe wa maziwa.
Muda umefika wa akina mama waanze kuzaa kama binadamu wa karne ya 21 na siyo kama kuku pale Temeke.
Muda umefika wa Watanzania kupika kwa kutumia Gas yao na si kumaliza miti inayozidi kupungua Tanzania.
Muda umefika Watanzania kuanza kutumika AKILI, VIPAJI na UWEZO wao waliopewa na Mungu.
Muda umefika ........................ Yako mengi sana.

Tukae chini na tuanze kujadili jinsi ya kufanya KAMPENI ambayo haijawahi kufanyika Tanzania. Watanzania wakiona hii kampeni basi wanaanza kulia na kutokwa machozi na kujiuliza, ilikuwaje wakawa WATUMWA wa kujitakia chini ya CCM kwa miaka 50? Nina imani Dr.Slaa atakuwa na sisi kusikiliza mawazo na maoni yetu ili kempeni ifanyike ya KUUWA mtu.

Kijiji changu nina imani wengi watamchagua maana ntaanza kampeni ya nyumba kwa nyumba. Ndugu kwa ndugu na hadi hapa Wilayani Sikonge kieleweke.
MUNGU IBARIKI TANZANIA. DR SLAA FOR PRESIDENT 2010.
Mi tayari nimesha elimisha ndugu zangu 50 kijijini leo umuhimu wa kutumbukiza kura kwa Dr.Slaa.
 
Mtwa, sasa unapokuja na kuweka maelezo marefu wakati nimeomba UJIANDIKISHE tu jina, nashindwa kuelewa unataka nikuandike au nisikuandike. Kama unapinga au una maelezo yoyote, basi nenda kwenye ule mjadala mwingine. Hapa watu wanakuja kuandika majina yao au kuelezea wamekusanya wapiga kura wa Slaa wangapi. Hapa tupo wale TUNAOUNGA MKONO tu. Kama kuna mwenye KUPINGA au ANAPINGA na KUUNGA mkono basi itakuwa VEMA mkijikusanya na kuweka listi yenu.
 
Back
Top Bottom