Elections 2010 Unamuunga mkono Dr. Slaa kugombea URAIS mwaka 2010? Jiandikishe hapa

Elections 2010 Unamuunga mkono Dr. Slaa kugombea URAIS mwaka 2010? Jiandikishe hapa

Nadhani kwa makusudi kabisa mada hii imehamishiwa huku ili isipate mchango mkubwa...(correct me if I'm wrong)
 
Siku zinazidi kuyoyoma. Ewe Mtanzania unayetaka mabadiliko, njoo ujuandikishe. Usipofanya hivyo basi kesho usilalamike kuwa Rais hafai.
 
Tumeshafika 90 jamani. Mwezi unakaribia kwisha, tufanye himahima ili mwisho wa mwezi tufikishe lengo na tumwandikie Dr.Slaa majina yetu yote na tufahamu moja. Tusiwe watu wa kukata tamaa na kulialia baadaye pembeni kuwa Rais fulani ni mbaya wakati sisi wananchi tunaweza kufanya kazi ya kuleta Rais ambaye tuna imani naye.

NB: Mfalme, nakuona na asante kwa kuungana na sisi. Pia Original Pastor nakupa dole gumba juu. Tuko pamoja. Mapinduzi, muda ni huu.
 
Orodha ingekuwa tayari ndefu sana kama Sikonge angekuwa na njia nzuri ya watu kujiandikisha. Sijui kama ni shida ya webserver yangu tu, lakini sioni link inayofunguka hapo palipoandikwa petition.

So, ongeza Augustine Moshi kwenye list. There are thousands more who would add their names if it were easy to do so.

Use by date ya CCM ilikwisha kitambo. Na Dr. Slaa ndiye angekubalika nchi nzima kuwa Rais.
 
Tungefika zaidi kama sii kuihamisha mada hii kuja huku kwani bila Uongo watu wengi bado wanakwenda Siasa kabla ya kugusa kwingineko..
Hata hivyo tutafika pamoja na kwamba silioni jina lako..

Mkuu Nadhani Hulifahamu Jina Langu
 
Haya haya Watanzania. Wale wote mnaoona Dr. Slaa anafaa, mje tuonyeshe wingi wetu hapa. Hii habari imefunguliwa tena na tunakusubirini mje kwa wingi tupandishe idadi yetu kwa kasi sana sasa maana Slaa kashakiri kuwa ATAGOMBEA. Njooni tumuunge mkono....
 
HOPE DIES LAST


Hayawi hayawi yamekuwa. Wengine walitucheka ila ninaamini kuwa JF tumechangia Dr. Slaa kubadili mawazo na kugombea. Asanteni wote waliojiandikisha hadi namba 95. Ila sasa lazima MJE wengi kuunga mkono na IDADI yetu iwe kubwa ya kutisha. Nina imani sasa kufika zaidi ya 1,000 hadi mwezi ujao mwishoni. Na hawa 1,000 wataenda kutengeneza wengine walau 20 kila mmoja.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

1.Dr. Slaa 2.MKANDARA 3.King of kings 4.Masanilo kugema 5.Fidel80

6.Bht 7.Tanzania 8.Ndege ya Uchumi 9.Jiwe 10.Jakathesi

11.Technician 12.Kilembwe 13.Ndjabu Da Dude 14.Bollo Yeng 15.Selous

16.Nyamizi 17.Mfwatiliaji 18.Sikonge 19.Ben 20.Lorah

21.Chief 22.Alpha 23.Malunde-Malundi 24.Muhindi 25.Nanu

26.Betina 27.Baija Bolobi 28.Epigenetics 29.Member 911 30. Mlalahoi

31.Mag3 32.Nndondo 33.Tai Ngwilizi 34.Sn2139 35.Shalom

36.Mc 37.Firstlady1 38.Henge 39.Nemesis 40.Mchili

41.Ngambo Ngali 42.Positive Thinker 43.Advocate Jasha 44.Zhule 45.Araway

46.Pasco 47.Mbu 48.The Invincible 49.Vivian 50.Daughter

51.Deo 52.Holowane 53.Kingi 54.Tzpride 55.Mzee Punch

56.Kiby 57.Mtangi 58.Birigita 59.Rwabugiri 60.Suzzie

61.Omutwale Kanyigo 62.BabaDesi 63.Bullet 64.Kinya 65.Mwasi

66.Geza ulole 67.Tuandamane 68.Dingswayo 69.Kitia 70.Kiwi

71.Kodabosi 72.Cammory 73.Babu M 74.Wa Mjengoni 75.Mzawa Halisi

76.Kungurumweupe 77.Njilembera 78.MpigaFilimbi 79.Mageuzi1992 80.Kilemi

81.Kwame Nkrumah 82.Carthbertl 83.Mageuzi1992 84.Kamende 85.MJM


86.Allydou 87.Original Pastor 88.Nono 89.Isaya Mwita 90.Mfalme

91.Saitama Kein 92.Pilato2006 93.Augustine Moshi 94.Kipipili 95.Masikini Jeuri.

Tumeshafika 90 huraaa!!!!!, lengo ni 100 hadi mwisho wa mwezi.

(Andika jina lako tu na mie nitaongeza kwenye listi)

Quadrat jr
 
HOPE DIES LAST


Hayawi hayawi yamekuwa. Wengine walitucheka ila ninaamini kuwa JF tumechangia Dr. Slaa kubadili mawazo na kugombea. Asanteni wote waliojiandikisha hadi namba 95. Ila sasa lazima MJE wengi kuunga mkono na IDADI yetu iwe kubwa ya kutisha. Nina imani sasa kufika zaidi ya 1,000 hadi mwezi ujao mwishoni. Na hawa 1,000 wataenda kutengeneza wengine walau 20 kila mmoja.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

1.Dr. Slaa 2.MKANDARA 3.King of kings 4.Masanilo kugema 5.Fidel80

6.Bht 7.Tanzania 8.Ndege ya Uchumi 9.Jiwe 10.Jakathesi

11.Technician 12.Kilembwe 13.Ndjabu Da Dude 14.Bollo Yeng 15.Selous

16.Nyamizi 17.Mfwatiliaji 18.Sikonge 19.Ben 20.Lorah

21.Chief 22.Alpha 23.Malunde-Malundi 24.Muhindi 25.Nanu

26.Betina 27.Baija Bolobi 28.Epigenetics 29.Member 911 30. Mlalahoi

31.Mag3 32.Nndondo 33.Tai Ngwilizi 34.Sn2139 35.Shalom

36.Mc 37.Firstlady1 38.Henge 39.Nemesis 40.Mchili

41.Ngambo Ngali 42.Positive Thinker 43.Advocate Jasha 44.Zhule 45.Araway

46.Pasco 47.Mbu 48.The Invincible 49.Vivian 50.Daughter

51.Deo 52.Holowane 53.Kingi 54.Tzpride 55.Mzee Punch

56.Kiby 57.Mtangi 58.Birigita 59.Rwabugiri 60.Suzzie

61.Omutwale Kanyigo 62.BabaDesi 63.Bullet 64.Kinya 65.Mwasi

66.Geza ulole 67.Tuandamane 68.Dingswayo 69.Kitia 70.Kiwi

71.Kodabosi 72.Cammory 73.Babu M 74.Wa Mjengoni 75.Mzawa Halisi

76.Kungurumweupe 77.Njilembera 78.MpigaFilimbi 79.Mageuzi1992 80.Kilemi

81.Kwame Nkrumah 82.Carthbertl 83.Mageuzi1992 84.Kamende 85.MJM


86.Allydou 87.Original Pastor 88.Nono 89.Isaya Mwita 90.Mfalme

91.Saitama Kein 92.Pilato2006 93.Augustine Moshi 94.Kipipili 95.Masikini Jeuri.

Tumeshafika 90 huraaa!!!!!, lengo ni 100 hadi mwisho wa mwezi.

(Andika jina lako tu na mie nitaongeza kwenye listi)

Kisoda2
 
:target:Hongera sana Sikonge. Hatimae watanzania angalau tuna matumaini tena na kauli za kusema ni lazima tuwe na JK miaka mingine mitano ziishie hapohapo. Yanawezekana watanzania tukafanya U-turn. Nothing for granted.
 
Back
Top Bottom