Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda hafu yeye hana mpango nawewe..
Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore.

Ukiwa peke yako unakua unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio hana habari (He/she don't give a damn shit)
Unampenda sana unamuonyesha upendo wa kweli ila ha-Appreciate lolote ulifanyalo..unabaki kulia tu usiku wa manane unawaza hadi kujiua au kujiona mtu usie na maana maishani wakati YOU WORTHY MORE THAN BILLIONS BEFORE GOD.

Kwanini uvumilie yote hayo mateso kama vile huyo abayekutesa ndio binaadamu pekee alibaki ulimwenguni..Wewe unakonda mwenzio anatoka shavu dodo.

Penda unapopendwa, penda pale unapoona unapata mrejesho wenye thamani ya upendo unaotoa. Wapo wengi wanatamani wakupe upendo wa dhati ila uneqafumbia macho na kung'angani mtu mmoja asiyejua thamani yako na thamani ya upendo wako..

Usilazimishe kupendwa,
Usilazimishe mawasiliano
Usilazimishe urafiki
Usilazimishe kupenda
Fura inachukuliwa haipewi..usisubiri mtu akupe furaha inuka kaichukue.
Be Valuable not available to everyone..

Milli Vanilli _ Girl I'm gonna miss you
Vers
Haufikii kwenye hii hatua kama hujapitia misukosuko
 
Wahenga walisema mapenzi yanatia upofu.
Si kwamba mtu hataki kuona kwingine ila kwa wakati huo macho yametiwa upofu na moyo umegubikwa na shahuku ya mtu mmoja aliyepita maishani.

Kupenda na kusahau na kuanza upya kupenda tena sio kazi rahisi na sio kila mtu anaweza. Ni wachache sana wanaweza hii kitu na ni watu imara sana kiakili na kiroho pia, ila bado utaona impact yake pale anapopitia hayo, utamkuta anaconcentrate sana kwenye kitu fulani kisichohusu mapenzi ili kuweka akili sawa. Tunawaita strong people na ni wachache sana.

Kuna watu wana hisia kali sana na wakipenda wamependa, wanafia hapo, wanaoza hapo na wananuka hapohapo. Mioyo yao inakua haijui kingine na wakati mwingine aliyependwa akiwa mtu mwenye makusudi, tendo lake moja laweza kusababisha mwenza kusitisha maisha. Hii ndio inasababisha yale uliyowahi kusikia kuwa amejinyonga kisa mapenzi.

Ukiona mtu kapenda leo kaacha au kaachwa halafu ndani ya wiki moja kapenda mwingine huyo hajapenda kule kunakoitwa kupenda, kutakua na kitu fulani tu alikipenda.

Wanaojua kupenda, hasa wakina dada, wanaelewa ninachomaanisha. Wanaume wachache wako hivi na wakisalitiwa hali huwa ni tete kwa mtu mwenyewe na wengine inaathiri hata maisha yao ya kimapenzi baadae.

Haya mapenzi haya, yaache tu kama yalivyo, kila mtu ana staili yake na namna yake.
 
Mbaya zaidi unayemuonesha unamuhitaji yeye anaonesha zero interests

Yani yuko unbothered kabisa
Dunia haikofea binti..
Unayempenda na kupanga plan kubwa juu yake ndio hana time nawe.. text anajubu iwa kujisikia..
Simu ndio hapogi kabisa.
Mimi nikikutext leo kesho usiponitext najua haupo confortable nami nafuta namba
 
Back
Top Bottom