Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Speedmeter nayo inadanganya?,au zinakuaga mbovu?Kama Mara ya kwanza jitahid sana usifunge vioo vya gari itakusaidia kujua gari inatembea kwa speed gani na wote walio kufa kwenye ajari wakiwa na magari binafsi walifunga vioo kwahiyo waliona gari kama haikimbii na kuongeza speed zaidi siku njema
Km 1173 kutokea mataa ya ubungo mpaka nyegezi standSafi sana mkuu unajimini vyakutosha safi,,,hivi dar mwanza ni km ngap?
Mkuu gx 110 nakubali nilisafir na bro dar to songea via lindi kutoka saa 12 saa 11 tumfk huo mwendo njiani nuksi bro alikuwa ameniambia dogo funga mkanda ila sijajua kama inaingia kwa alteza au crownMzee hujaitendea haki gari hii, Inaitwa GRANDE MARK II SIX CYLINDER, na huwa ina tabia ya kupuliza FUUUUU ukikanyaga mafuta. Mzee chuma unacho hii gari ni kiboko. Mimi nilikuwa nayo tena Manual, Dar Mwanza utafikiri umepnda ndege. mabasi haya ya mikoani unayapita kama yamesimama. Kipindi hicho Manyoni Singida mpaka kwenye daraja ilkuwa vumbi, walikuwa wanaita PODA, kilometre kama 40 hivi unatumia masaa matatu, mpaka wheel cap zilichomoka
Hii gari huwa siisahau ninapoikumbuka huwa inaniuma sana, nilikuja nikanyanganywa tu kwa nguvu na watu, unyonge kitu kibaya sana. Ilinyang'anywa makusudi na watu ikabidi niwaachie. Unajua kuna KUIBIWA na KUNYANG;ANYWA?. Kuibiwa na kunyang'anywa ni vitu viwili tofauti
Six cylinder kaka acha mchezo, nakwambia hivi hata VX inaweza ikaachwa ikikamatwa na watu walio[poteza roho wakiwa wazimaMkuu gx 110 nakubali nilisafir na bro dar to songea via lindi kutoka saa 12 saa 11 tumfk huo mwendo njiani nuksi bro alikuwa ameniambia dogo funga mkanda ila sijajua kama inaingia kwa alteza au crown
Mkuu mimi nazipenda sana carina ti ila kwa safar y mbali gx 110 kiboko this year mwishon nitavuta wacha dagaa zichanganyeSix cylinder kaka acha mchezo, nakwambia hivi hata VX inaweza ikaachwa ikikamatwa na watu walio[poteza roho wakiwa wazima
Unapoongea vx jaribu kua na utulivu kidogo mkuu.Six cylinder kaka acha mchezo, nakwambia hivi hata VX inaweza ikaachwa ikikamatwa na watu walio[poteza roho wakiwa wazima
Watu wana masiharaUnapoongea vx jaribu kua na utulivu kidogo mkuu.
Mark II six cylinder ikiikamatwa na kichaa mwenye VX anaachwa, wala katika hilo hakuna ubishiUnapoongea vx jaribu kua na utulivu kidogo mkuu.
Ikiwa na 1jz or 2jz engine?Mark II six cylinder ikiikamatwa na kichaa mwenye VX anaachwa, wala katika hilo hakuna ubishi
mwambie mkuu, unaweza pakia mtu akakufia njiani bure, watu wanatembea na maradhi yao!Mkuu usimshauri hii kitu ni hatari sana..
Usi mbebe mtu usie mjua hata kama anaonekana malaika kwenye macho yako. Never
Haha ha haUnapoongea vx jaribu kua na utulivu kidogo mkuu.
kukp salama tu pita njia ya iringa hakuna mapori..ukiondoka saa kumi usiku au saa tisa utafika songea bado kweupeHabarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali huo ( 1000km),umbali mrefu nilioenda mwenyew ni km 300
Sasa napendaga sana kusafiri na kagari kangu (grande mark ii) hiyo safari nitakuwa peke yangu,,,sihofii matatizo madogo madogo kama pancha coz tii hata mimi mwenyew naweza piga jeki na kubadili tairi peke angu ila kunajamaa alinishauri sio vzuri kutembea parefu hivyo peke yangu coz ikitokea kama ajari kidogo umezidiwa hakutakuwa na mtu hata wakupiga simu ,,,,
Sasa najua humu kuna watu wazoefu wakusafiri private basi ninaomba nijue uzoefu wenu katika kusafiri peke yako.asante
saa kumi labda aondoke saa tisa usikuMkuu Mark ii grande ulale njiani kwa km 1000??? Masikhara hayo. Mimi safari yangu ya kwanza nje ya Dar kwenda Iringa na kiMark x changu nimetoka saa moja Iringa nipo saa tano na nipo peke yangu.
Hakikisha tu gari yako iko vizuri, tairi, brakes, fanbelt na vikorombwezo vingine. Pia fungua madirisha kidogo ili usije ukasinzia.
CHA MUHIMU ZAIDI KUWA NA NIDHAMU BARABARANI, uwe unakimbia na gari au unatembea taratibu, nidhamu yako ndo salama yako. Epuka kuovertake ovyo.
Naamini by saa kumi au tisa utakuwa Ruvuma ukitoka Dar saa 12.
kweli tunatofautiana. Mziki mzito hupoteza concentration ya dereva na linapokuja suala la kufanya maamuzi, huwezi ku act fast! it's advised, kuweka mdundo wa kawaida na kuisikiliza engine ya gari lako inavyofanya kazi. iko hivi, unapoendesha masafa marefu, ni bora kuisikiliza gari yako kuanzia engine mpaka tairi inavyokanyaga lami. ni vyema kujua mazingira yanayokuzunguka kama vile watu wengine wanaotumia barabara.Funga mziki mkubwa ndani ya gari, weka playlist ya nyimbo zilizochangamka kama za club zile na old school rap songs ili kusudi zikupe mizuka, achilia sauti ya wastani ila inayosheheni kwenye cabin.
Kwa msaada mcheki dicksound akufanyie namna. Hutochoka na safari utaiona fupi tu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unapoongea vx jaribu kua na utulivu kidogo mkuu.
Ndio maana nikasema aweke wastan tu. Mi pia siwezi endesha na loud music. Hata kusoma na earphones maskioni siwezi.kweli tunatofautiana. Mziki mzito hupoteza concentration ya dereva na linapokuja suala la kufanya maamuzi, huwezi ku act fast! it's advised, kuweka mdundo wa kawaida na kuisikiliza engine ya gari lako inavyofanya kazi. iko hivi, unapoendesha masafa marefu, ni bora kuisikiliza gari yako kuanzia engine mpaka tairi inavyokanyaga lami. ni vyema kujua mazingira yanayokuzunguka kama vile watu wengine wanaotumia barabara.
Panda busAsante mkuu,,,uzoefu wangu ni miaka miwili toka nichukue gari na nikila siku nalitumia ingawa ni safari fupi za mjini tu kutembea root ndefu ni mara chache ila najiamini vyakutosha kuhusu kuendesha mkuu