kuna hii inaitwa kodrai ipo vzr sana pia ila kuna msabuni flani wa nje mzuri tu sema mkubwa mpk kwenye mkono unazidi ni rahisi kuponyoka
Napenda sana shower gels kama za Lux, na Dove. Siku nasoak kwenye tub nikitoka humo ngozi kama kitoto halafu nanukiaaa.
Mimi kuoga kituo cha polisi, nadhani nahitaji msaada wako
infirioriti komleksi....Wengine hapa hata hela ya kubadilisha mboga tunashindwa wewe unatuletea mambo sijui naogea sabauni gani?
Wewe mtoto wa kishua acha kutudharau bana na kumbuka aliyekupa wewe neema ndiyo kaninyima mm!
Sabuni ya kuogea ni luxury product kwangu yyt ile bafuni ya mpangaji mwenzangu nikiikuta mm natumia
infirioriti komleksi....
Wengine hapa hata hela ya kubadilisha mboga tunashindwa wewe unatuletea mambo sijui naogea sabauni gani?
Wewe mtoto wa kishua acha kutudharau bana na kumbuka aliyekupa wewe neema ndiyo kaninyima mm!
Sabuni ya kuogea ni luxury product kwangu yyt ile bafuni ya mpangaji mwenzangu nikiikuta mm natumia
Eee mbona jazba na lawama na mtoa mada mbona hajamkashfu mtu? hela ya kubadili mboga huna ila ya kununua MB uingie JF haikupgi chenga si ndiooo! kuwa hata na simu au comp yenye uwezo wa wewe kujiunga humu ur luxury people.
mmmmhhhh mim natumia jamaa sabuni ya kipande napaka futa langu la mukwano saaafiii hiyo perfum ntaisikia saa ngapi labda
Daaah!Ehehheheheh makavu live?Mkuu kwa kweli sina cha kujitetea hapo ehehehe
Umeonaeee! Siku nyingine toa kwanza boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi jichoni kwa mwingne.
Ndugu wanaJF
Kuna umuhimu wa kuogea sabuni yenye harufu nzuri tena ambayo mpenz wako anaipenda, ama waweza kuogea sabuni yoyote hata Omo ilimradi uwe umeoga?
Nimeuliza hivi kwasababu sabuni hazipewi vipao mbele kama perfume na lotion. Kuna sabuni zingine ukiogea hata kama umejispry perfume, bado utasikia harufu yake, sasa ukikuta harufu yake siyo nzuri!
Mjulishe mpenz wako ungependa aogee sabuni ya aina gani ambayo unaipenda sana harufu yake.
Eee mbona jazba
na lawama na mtoa mada mbona hajamkashfu mtu? hela ya kubadili mboga
huna ila ya kununua MB uingie JF haikupgi chenga si ndiooo! kuwa hata na
simu au comp yenye uwezo wa wewe kujiunga humu ur luxury
people.
Ndugu wanaJF
Kuna umuhimu wa kuogea sabuni yenye harufu nzuri tena ambayo mpenz wako anaipenda, ama waweza kuogea sabuni yoyote hata Omo ilimradi uwe umeoga?
Nimeuliza hivi kwasababu sabuni hazipewi vipao mbele kama perfume na lotion. Kuna sabuni zingine ukiogea hata kama umejispry perfume, bado utasikia harufu yake, sasa ukikuta harufu yake siyo nzuri!
Mjulishe mpenz wako ungependa aogee sabuni ya aina gani ambayo unaipenda sana harufu yake.
kweli kabisa malafyale.utwambombo lelo malafyale?
Ha ha ha haaaaaaaa wakazi wa ORK Simanjirooo na Omo(sabuni za unga za kupima) jmn ndizo wanazotumia mpk mtu ngozi zimewapaukaa na kukakamaaa kama ukuni. Mi mwenzenu nasema coz kun siku nilitia timu humo so nikafkia kwa familia fulani kuambiwa kaoge sabuni napewa jagi lenye sabuni ya unga nikaambiwa huku ndo twatumiaga hizi huku maji maguumuu hayakubali sabuni yoyotee. I thnx God huwa popote niendapo huwa nabeba Olay goat milk shower jel au Nivea shower au yoyote na ngozi yangu lainiiii wanaishia kuulizana mbona wewe ngozi yako laini na inateleza kama konokonoo ukimwambia mtu atoe 10,000 anunue Olay anaona haifai. Mmmm simanjiro badilikeniii ngozi zimewakakamaa kama mamba aliyefia juani kwa misabuni ya unga ya kupima.