MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,065
kuna hii inaitwa kodrai ipo vzr sana pia ila kuna msabuni flani wa nje mzuri tu sema mkubwa mpk kwenye mkono unazidi ni rahisi kuponyoka
mmmmhhhh mim natumia jamaa sabuni ya kipande napaka futa langu la mukwano saaafiii hiyo perfum ntaisikia saa ngapi labda