Unaogea sabuni gani yenye manukato mazuri?

Unaogea sabuni gani yenye manukato mazuri?

kuna hii inaitwa kodrai ipo vzr sana pia ila kuna msabuni flani wa nje mzuri tu sema mkubwa mpk kwenye mkono unazidi ni rahisi kuponyoka

mmmmhhhh mim natumia jamaa sabuni ya kipande napaka futa langu la mukwano saaafiii hiyo perfum ntaisikia saa ngapi labda
 
Tuko wote...mimi napenda jaribu products tofauti tofauti...kuna moja nimeifuma hiyo ina products za kila harufu...kuanzia vanilla, embe mpaka ginger....yani huwa nawaza kuoga tu....


Napenda sana shower gels kama za Lux, na Dove. Siku nasoak kwenye tub nikitoka humo ngozi kama kitoto halafu nanukiaaa.
 
majani ya papai yako vizurii saana


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Wengine hapa hata hela ya kubadilisha mboga tunashindwa wewe unatuletea mambo sijui naogea sabauni gani?

Wewe mtoto wa kishua acha kutudharau bana na kumbuka aliyekupa wewe neema ndiyo kaninyima mm!

Sabuni ya kuogea ni luxury product kwangu yyt ile bafuni ya mpangaji mwenzangu nikiikuta mm natumia
infirioriti komleksi....
 
kuna vile visabuni vidogo dogo flani hivi vinapendwa sana kuwekwa gesti vinaitwa "eva" vinanukia sana...
 
Wengine hapa hata hela ya kubadilisha mboga tunashindwa wewe unatuletea mambo sijui naogea sabauni gani?

Wewe mtoto wa kishua acha kutudharau bana na kumbuka aliyekupa wewe neema ndiyo kaninyima mm!

Sabuni ya kuogea ni luxury product kwangu yyt ile bafuni ya mpangaji mwenzangu nikiikuta mm natumia

Eee mbona jazba na lawama na mtoa mada mbona hajamkashfu mtu? hela ya kubadili mboga huna ila ya kununua MB uingie JF haikupgi chenga si ndiooo! kuwa hata na simu au comp yenye uwezo wa wewe kujiunga humu ur luxury people.
 
Eee mbona jazba na lawama na mtoa mada mbona hajamkashfu mtu? hela ya kubadili mboga huna ila ya kununua MB uingie JF haikupgi chenga si ndiooo! kuwa hata na simu au comp yenye uwezo wa wewe kujiunga humu ur luxury people.

Daaah!Ehehheheheh makavu live?Mkuu kwa kweli sina cha kujitetea hapo ehehehe
 
Ndugu wanaJF
Kuna umuhimu wa kuogea sabuni yenye harufu nzuri tena ambayo mpenz wako anaipenda, ama waweza kuogea sabuni yoyote hata Omo ilimradi uwe umeoga?

Nimeuliza hivi kwasababu sabuni hazipewi vipao mbele kama perfume na lotion. Kuna sabuni zingine ukiogea hata kama umejispry perfume, bado utasikia harufu yake, sasa ukikuta harufu yake siyo nzuri!
Mjulishe mpenz wako ungependa aogee sabuni ya aina gani ambayo unaipenda sana harufu yake.

Ha ha ha haaaaaaaa wakazi wa ORK Simanjirooo na Omo(sabuni za unga za kupima) jmn ndizo wanazotumia mpk mtu ngozi zimewapaukaa na kukakamaaa kama ukuni. Mi mwenzenu nasema coz kun siku nilitia timu humo so nikafkia kwa familia fulani kuambiwa kaoge sabuni napewa jagi lenye sabuni ya unga nikaambiwa huku ndo twatumiaga hizi huku maji maguumuu hayakubali sabuni yoyotee. I thnx God huwa popote niendapo huwa nabeba Olay goat milk shower jel au Nivea shower au yoyote na ngozi yangu lainiiii wanaishia kuulizana mbona wewe ngozi yako laini na inateleza kama konokonoo ukimwambia mtu atoe 10,000 anunue Olay anaona haifai. Mmmm simanjiro badilikeniii ngozi zimewakakamaa kama mamba aliyefia juani kwa misabuni ya unga ya kupima.
 
Eee mbona jazba
na lawama na mtoa mada mbona hajamkashfu mtu? hela ya kubadili mboga
huna ila ya kununua MB uingie JF haikupgi chenga si ndiooo! kuwa hata na
simu au comp yenye uwezo wa wewe kujiunga humu ur luxury
people.

hahaaaa
huyu jamaa kanikumbusha wale watu katika maofisi wenye tabia ya kujiita sisi wa kada ya chini..

yani hawapendi kuukubali ukweli, ishi maisha kulingana na mkono wako unakofikia nini kujihangaisha kuishi kama fulani.
 
Mimi naogea Abood soap au Kuku nyeupe,kwangu burudani pamoja na mwandani wangu.


Ndugu wanaJF
Kuna umuhimu wa kuogea sabuni yenye harufu nzuri tena ambayo mpenz wako anaipenda, ama waweza kuogea sabuni yoyote hata Omo ilimradi uwe umeoga?

Nimeuliza hivi kwasababu sabuni hazipewi vipao mbele kama perfume na lotion. Kuna sabuni zingine ukiogea hata kama umejispry perfume, bado utasikia harufu yake, sasa ukikuta harufu yake siyo nzuri!
Mjulishe mpenz wako ungependa aogee sabuni ya aina gani ambayo unaipenda sana harufu yake.
 
TBS inahusika...te te te...

Sabuni ukiweka mkononi mkono unawaka moto...zile hazifai hata kwa kufulia...


Ha ha ha haaaaaaaa wakazi wa ORK Simanjirooo na Omo(sabuni za unga za kupima) jmn ndizo wanazotumia mpk mtu ngozi zimewapaukaa na kukakamaaa kama ukuni. Mi mwenzenu nasema coz kun siku nilitia timu humo so nikafkia kwa familia fulani kuambiwa kaoge sabuni napewa jagi lenye sabuni ya unga nikaambiwa huku ndo twatumiaga hizi huku maji maguumuu hayakubali sabuni yoyotee. I thnx God huwa popote niendapo huwa nabeba Olay goat milk shower jel au Nivea shower au yoyote na ngozi yangu lainiiii wanaishia kuulizana mbona wewe ngozi yako laini na inateleza kama konokonoo ukimwambia mtu atoe 10,000 anunue Olay anaona haifai. Mmmm simanjiro badilikeniii ngozi zimewakakamaa kama mamba aliyefia juani kwa misabuni ya unga ya kupima.
 
Back
Top Bottom