Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Madem wengi sasa wanatoka na wanaume wa age kuanzia 37 nakuendea we haujiulizi ni kwanin vijana wenzao hawawatakiKwahiyo siku hizi hakuna kutongoza unamshika mkono na kumvuta alafu unamuonesha bulungutu la pesa unaenda kunyandua?
Sijakataa, upo sahihi, nakubaliana na wewe lakini maneno matamu ni muhimu ndo maana nikasema wale vijana waache kuongea na pisi kali Kama wanavyoongea na wahuni wenzao vijiweni.Madem wengi sasa wanatoka na wanaume wa age kuanzia 37 nakuendea we haujiulizi ni kwanin vijana wenzao hawawataki
Cha msingi ni kutambua kuwa mwanamke hakosagi mwanaume wakumsifia any given day. So usiumize kichwa chako sana. Pesa ndio kila kitu kwa mademu...kamatia kula mbususu achie maboyo kutunga sentesi hizoWewe:Oya!
Yeye:Niambie!
Wewe:Mzima?
Yeye:Mimi mzima wewe je
Wewe: Niko poa
Yeye:Okay
KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:
Jamaa:Mambo mrembo wewe
Msichanaπoa mzima wewe?
Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo
Msichana:Mmmh!Kivipi yaan
Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana
Msichanaπaah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.
Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona
Msichana;Mh!sawa bhn asante
Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe
Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe
Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza
Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itokee
Tongoza yangu sikuhizi ni " naomba kampani yako na zawadi yako nzuri natakupa utafurahi"
Hachomoi
HahahhaaaaaMimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)
SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO
Jaribu hizo meseji kwa Espy ama Evelyn Salt kisha ulete mrejesho πππWewe:Oya!
Yeye:Niambie!
Wewe:Mzima?
Yeye:Mimi mzima wewe je
Wewe: Niko poa
Yeye:Okay
KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:
Jamaa:Mambo mrembo wewe
Msichanaπoa mzima wewe?
Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo
Msichana:Mmmh!Kivipi yaan
Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana
Msichanaπaah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.
Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona
Msichana;Mh!sawa bhn asante
Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe
Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe
Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza
Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itokee
Ki ukweli mimi mwenyewe na madhaifu ya kutupenda Sana kuchati na Mwanamke wangu,yanii nishindwe kusoma thread za Wadau wa JF nikae nachati na mtu daaahhh,Kama ni hivyo tuachane tu,Nitapata wa kufanana nae Teh teh...Nashukuru nimeshavuka kipengele hicho cha kuchati wastani wa miaka 10 iliopita, kwa wenye akili pevu hilo sio hoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
All in all penzi jipya lina mbwembwe SanaWewe:Oya!
Yeye:Niambie!
Wewe:Mzima?
Yeye:Mimi mzima wewe je
Wewe: Niko poa
Yeye:Okay
KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:
Jamaa:Mambo mrembo wewe
Msichanaπoa mzima wewe?
Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo
Msichana:Mmmh!Kivipi yaan
Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana
Msichanaπaah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.
Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona
Msichana;Mh!sawa bhn asante
Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe
Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe
Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza
Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itokee
Upo sahihi, hasa hasa wa humu jamiiforums.Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Mwamba wewe mbabe!Mimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)
SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO
Wakoje hawa mkuu na vip kuhusu financial services ?Jaribu hizo meseji kwa Espy ama Evelyn Salt kisha ulete mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe:Oya!
Yeye:Niambie!
Wewe:Mzima?
Yeye:Mimi mzima wewe je
Wewe: Niko poa
Yeye:Okay
KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:
Jamaa:Mambo mrembo wewe
Msichanaπoa mzima wewe?
Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo
Msichana:Mmmh!Kivipi yaan
Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana
Msichanaπaah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.
Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona
Msichana;Mh!sawa bhn asante
Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe
Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe
Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza
Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itokee
Upewe ulinzi, na upewe mwanamke wa ziada kama unae mmoja uongezwe wawili.....Mimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)
SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO
Wamekuja teyariUpewe ulinzi, na upewe mwanamke wa ziada kama unae mmoja uongezwe wawili.....
Hizo sms za darasa la nne? Kuita sijui malikia wangu sijui nini.....acha basi πJaribu hizo meseji kwa Espy ama Evelyn Salt kisha ulete mrejesho πππ