Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

We
We sio mtu ww
 
Umeongea kitu kikubwa sana.
Ni kweli unapoanzia uchawi ndipo sayansi ilipoishia.

Uchawi ni kiwango juu ya sayansi.
Ndio maana sayansi haiwezi kuthibitisha uchawi
 
Umeongea kitu kikubwa sana.
Ni kweli unapoanzia uchawi ndipo sayansi ilipoishia.

Uchawi ni kiwango juu ya sayansi.
Ndio maana sayansi haiwezi kuthibitisha uchawi
Uchawi ni kiwango juu ya sayansi.
Ndio maana sayansi haiwezi kuthibitisha uchawi
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]
 
[emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia vidole vilivyochoka!! Watu wa aina hii wakiwa wengi, hatutaweza kuufikia uchumi wa kati. Ni ma agent wa wivu, na kila aina ya maovu kwa wanaoonekana kuhangaisha akili zao kujikomboa
 
Kuna mzee kijijini kwetu nilisimuliwa tu kwamba alikua akifika kilabuni(kwenye pombe za kienyeji aka baa za zamani) koti lake anarusha tu juu linaning'inia bila msumari anaendelea kunywa pombe swafi mda wakurudi ye hajali sababu ukiongozana nae anakwambia tu kachoka kutembea fumba macho ukifumba na kufumbua tu kila mtu anajikuta kwao salama salimini.
 
Sayansi asilia..mzungu kashindwa kuiga hapa
 
Maelezo mafupi
 
Mmh...hapa ni mada sio kitabu ujue
uchawi sio kwamba unafwata ikitoka sayansi ila sanyansi ni nyenzo aliopewa mwanadamu na mungu iliikuyaamudu mazingiraa yake
na kujiumbia vitu vyake maana biblia inatutambua kuwa sisi ni miungu. Na uchawi ni nguvu inayo taka kupingana na mungu ambae ni muweza wa yote. Labda ungesema miujiza inafwata baada ya sayansi. Ila uchawi ni muijiza fake kutoka kwa shetani ambayo inawafanya watu wajihisi ni miungu watu kumbe ni wapambavu tu hakuna wanachokijua zaidi ya kutoa kafara za maana hamna uchawi bila kafara. Hata hivyo tumeona uchawi umepingwa Sana na biblia.
 
Yesu kutembea juu ya maji ile ni miujiza Sasa ile ndo ulinganisha na sanyansi. Lakini sio kulinganisha na Mambo ya kipumbavu ambayo hayana maana kweli ila ni kutesana tu na kutokuwa na maendeleo.
 
Moja kati ya vitu vinavyoathiri fasihi ni "uongezaji wa chumvi" (exaggeration).
Stori (fairytale) yako kifasihi ni nzuri sana. ila inapendeza zaidi kwa watoto wa chekechea!!
Au kama hiyo stori itatumika kwa "Adults" basi inafaa kwa Comedy au Kiburudani zaidi (for entertainment purpose only)..
Ulichokisimulia hapo hakina tofauti sana na FABLES na FAIRYTALES za Sijui Kobe akasema kuwa Jongoo na Nyoka walibadilishana miguu na macho..
Mara Ohhh! ukivaa Nguo Nyekundu utapigwa na RADI., Mara Ooh! kuna CHUMA ULETE, sijui nini... etc.
Huwa ni Stori flani Za Kufikirika (Fiction & Fantasy) ambazo nchi zilizoendelea zimebaki kuzitumia kwenye Movies tu za kufikirika. Kwenye Fikra mtu anaweza chochote kile, ila Uhalisia ni tofauti.
Akili ya mwanadamu inapenda vitu "concrete" na sio "abstract".
That's why Science rocks, sababu unakula vitu "concrete".
Ndo maana pia hatupeleki watoto wetu wa shule kwa Makarumanzila (waganga ramli) au kwa the so called Uchawini (imani potofu). Badala yake tunawapeleka Shule Bora na Kuwatafutia Walimu Bora na kuwahimiza Kusoma.
Kama unaamini na kuogopa imani potofu basi huna haja ya kupeleka Ndugu zako au Wanao Shule wewe acha wakae nyumbani, afu Fanya mishe zako za Kichawi ili wafaulu School Exams...
Uzuri wa Sayansi, uwe unaamini au huiamini yenyewe inafanya Kazi tu.. Kwa mfano; gesi ya " Hydrogen cyanide" ni sumu, uwe unaiamini au huiamini ukiivuta (inhale) basi asilimia kubwa itakudhuru tu... You know why!? Kwa sababu Sayansi ni "systematic study of nature" yenyewe inachunguza yaliyomo asilia (nature) kwa umakini na kuja na misingi "concrete".
Nikionaga mtu ana miaka (umri) wa 23+ afu bado anatishwa au kuogopa imani potofu huwa natamani hata nimzabe vibao vya uso huyo mtu!!

kwa binadamu kuna wakati mambo yanaenda, kuna wakati hayaendi. That's Nature!. Na sio kila " target " utaifikia katika kila ukifanyacho maishani iwe ni Kazini, Michezoni etc.. You will hit some targets, and also you will miss some targets (malengo).
 
Hakuna uchawi.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ huwezi amuni bado kuna watu wanaamini katika kupaa kwa kutumia ungo.
Afu ajabu mtu mwenye mawazo hayo bado anapiga hesabu za kununua gari au ndege.. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ukimuuliza kwa nini anapoteza muda kununua gari badala ya kununua ungo apae zake juu, hapo atakupa stori za uongoooooo mpaka atakosa cha kujitetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…