Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Eti kufumba na kufumbua umefika mahala ulipokusidia...zaidi ya supersonic speed....

Hatareee
 
Nawazo kwa nn wachawi wasiungane watengeneze usafiri wa chapu ambao utasajiliwa na sumatra alafu wadau tuanze ibukia California tukale bata
Inaonekana watu wengi wahajui uchawi ni nini na nini kinafanyika katika uchawi,hii haiwezekana maana uchawi huhusisha viumbe hai na ili utokee uchawi kuna baadhi ya viumbe hupata madhara unajua ili kupaa kwa mchawi nishati hai hutumika je unajua hiyo nishati inatoka wapi?

Ndio maana wazee zamani walikataa kuoa au kuolewa katika familia yenye uchawi maana uchawi huathiri wanaouzunguka kwanza kabla ya kwenda nje, wa ndani mnakuwa mshaumia kwa kujua au kutokujua.
 
Na uchawi unapoishia ndio Yesu anapoanzia, mfano mtu ameomba damu ya Yesu ifunike nyumba yake, mchawi anakuja usiku anakuta nyumba inawaka Moto wakati watu wapo ndani, anasema huu ni uongo , anaamua kuingia kiinguvu, ghafra anawaka moto na kuteketea, anatoka mbio lakini haisaidii, asubuhi anaamka akiwa marehemu!!
 

Mbona hizo theory zao wachawi wanashindwa kuzitumia kwenda Lumumba au Kizota au Ikulu au hata benki yoyote hapa nchini ??
 

Yesu yupi ??? Yesu wa Luka au Mathayo ?? au yesu yule ambaye haingii katika ufalme wa Mungu kwa sababu ametoka katika kizazi cha zinaa kama biblia ilivyoandika ??
 
Mbona hizo theory zao wachawi wanashindwa kuzitumia kwenda Lumumba au Kizota au Ikulu au hata benki yoyote hapa nchini ??
Waende wakafanye nini sasa? Mambo mengine bwana ni kujidhalilisha tu mbele za watu.
 
Yesu yupi ??? Yesu wa Luka au Mathayo ?? au yesu yule ambaye haingii katika ufalme wa Mungu kwa sababu ametoka katika kizazi cha zinaa kama biblia ilivyoandika ??
Imeandikwa wapi hayo? We bwana mdogo jitahidi kuficha uchi wa akili yako mbele za watu.

Unajitia aibu sana kwani tunazidi kuuona utupu wako.
 
Imeandikwa wapi hayo? We bwana mdogo jitahidi kuficha uchi wa akili yako mbele za watu.

Unajitia aibu sana kwani tunazidi kuuona utupu wako.

Si useme tu uelimishwe ?? Inawezekana hata biblia yako huijui , Hivyo unavyoandika unajidhihirisha mwisho wa elimu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…