Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Ndiyo kulingana na masharti ilitakiwa aue mtu ili apate damu, na hapo ndipo siku zote mambo ya "uchawi" au "uganga" yanapofanywa kuwa SIRI.

Juu ya wale mbwa nilisahau kumuuliza kilichoendelea.
[emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144]
 
  • Thanks
Reactions: uth
Sijawahi kuamini hayo mambo ya wachawi kuruka na ungo na wala kuingia chumbani ihali umefunga milango na wala misukule hakuna ...Ni story tu za kutufnya sisi tuendelee kuwa wajinga tukiziacha hizi story Africa basi bara letu litaendelea sana tu..

Ila ukitaka kugombana na muafrica mwambie uchaw hakuna ...na ukimwambia nithibtshie anakuambia hayajakukuta ...Ni upumbavu mtupu Mara oih ulimwengu wa Roho ulimwengu wa Roho ukimwambia najuaje kama uchaw upo anakuambia huwez kuona huo Ni ulimwengu wa roho imekuwa kama kesi ya Kobe ukitaka kumshika kichwa anarudi kwenye gamba lake ndivyo walivyo watu hawa wa ulimwengu wa roho ......Mwanadam asili yake Ni mwanadam ameumbwa kwa udongo vitu anavyovifnya tunategemea tuvione kwa ulimwengu wa mwili yeye ameumbwa ivo ...ila malaika ndio ulimwengu wao Ni roho maana wao ndio wameumbwa ivo kwa mjibu wa maandko ...kikubwa zaidi ndugu yangu mshana uchawi wa aina hyo hakuna na hauwezi kuwepo.

Amina
 
Hakuna ukweli hapo ndugu acha story za kuambiwa
Hahaha...Mkuu, hiyo ya tatu ni balaa. zamani tukiwa bado wadogo kuna jirani yetu alikuwa na hiyo sayansi (uchawi) na alikuwa hajifichi kujisema alivyobobea kwenye sayansi hiyo ya Asili. siku moja alikwenda na rafiki yake kuwinda kitoweo poli la BULIGI. kwa bahati mbaya wakavamiwa na simba na yule rafiki yake hakuwa na lakufanya. jamaa akampoteza kwa speed ya radi. jamaa anazinduka anajikuta yuko nyumbani. Asubuhi njema Boss
 
  • Thanks
Reactions: uth
Sijawahi kuamini hayo mambo ya wachawi kuruka na ungo na wala kuingia chumbani ihali umefunga milango na wala misukule hakuna ...Ni story tu za kutufnya sisi tuendelee kuwa wajinga tukiziacha hizi story Africa basi bara letu litaendelea sana tu..

Ila ukitaka kugombana na muafrica mwambie uchaw hakuna ...na ukimwambia nithibtshie anakuambia hayajakukuta ...Ni upumbavu mtupu Mara oih ulimwengu wa Roho ulimwengu wa Roho ukimwambia najuaje kama uchaw upo anakuambia huwez kuona huo Ni ulimwengu wa roho imekuwa kama kesi ya Kobe ukitaka kumshika kichwa anarudi kwenye gamba lake ndivyo walivyo watu hawa wa ulimwengu wa roho ......Mwanadam asili yake Ni mwanadam ameumbwa kwa udongo vitu anavyovifnya tunategemea tuvione kwa ulimwengu wa mwili yeye ameumbwa ivo ...ila malaika ndio ulimwengu wao Ni roho maana wao ndio wameumbwa ivo kwa mjibu wa maandko ...kikubwa zaidi ndugu yangu mshana uchawi wa aina hyo hakuna na hauwezi kuwepo.

Amina



Mkuu, umejaribu kuelezea kitu usichokijua, hivyo umeeleza kulingana na upeo wako na mbaya zaidi umehitimisha kwa kutia hukumu (decree) kwamba uchawi hakuna.

Yakupasa kwanza utafute tafsiri ya uchawi (the definition), na uwaulize wanaojua kuliko kupinga kitu usichojua.

Leo hii kuna watu wanapinga nguvu za uvutano (universal gravitation) si, kwasababu nguvu hizo hazipo bali haelewi na kutambua bali hawana uwezo wa kuelewa kutokana na upeo finyu wa akili zao (their understanding), na ELIMU ya uchawi inafanana na jambo hilo. Ni "branch" ya sayansi ambayo kadiri muda unavyozidi utapata umaarufu na manufaa kwa watu yataonekana, hapa sizungumzii juu ya uchawi wa misukule na kuwanga na kuroga watu nazungumzia uchawi wenye manufaa na faida kwa watu.
 
Sijawahi kuamini hayo mambo ya wachawi kuruka na ungo na wala kuingia chumbani ihali umefunga milango na wala misukule hakuna ...Ni story tu za kutufnya sisi tuendelee kuwa wajinga tukiziacha hizi story Africa basi bara letu litaendelea sana tu..

Ila ukitaka kugombana na muafrica mwambie uchaw hakuna ...na ukimwambia nithibtshie anakuambia hayajakukuta ...Ni upumbavu mtupu Mara oih ulimwengu wa Roho ulimwengu wa Roho ukimwambia najuaje kama uchaw upo anakuambia huwez kuona huo Ni ulimwengu wa roho imekuwa kama kesi ya Kobe ukitaka kumshika kichwa anarudi kwenye gamba lake ndivyo walivyo watu hawa wa ulimwengu wa roho ......Mwanadam asili yake Ni mwanadam ameumbwa kwa udongo vitu anavyovifnya tunategemea tuvione kwa ulimwengu wa mwili yeye ameumbwa ivo ...ila malaika ndio ulimwengu wao Ni roho maana wao ndio wameumbwa ivo kwa mjibu wa maandko ...kikubwa zaidi ndugu yangu mshana uchawi wa aina hyo hakuna na hauwezi kuwepo.

Amina
Ok sawa asante kwa mchango ila nina maswali machache
Je baada ya binadamu kuumbwa kwa udongo kuna kingine kilifanyika? Kumbuka kuhusu pumzi ya uhai aliyopuliziwa.... Je unaifahamu hii pumzi ni kitu gani?
Hawa unaowaita malaika je ndio roho zenyewe? Kama ndio hivyo kwanini mwanadamu awe na roho?
 
Mkuu, umejaribu kuelezea kitu usichokijua, hivyo umeeleza kulingana na upeo wako na mbaya zaidi umehitimisha kwa kutia hukumu (decree) kwamba uchawi hakuna.

Yakupasa kwanza utafute tafsiri ya uchawi (the definition), na uwaulize wanaojua kuliko kupinga kitu usichojua.

Leo hii kuna watu wanapinga nguvu za uvutano (universal gravitation) si, kwasababu nguvu hizo hazipo bali haelewi na kutambua bali hawana uwezo wa kuelewa kutokana na upeo finyu wa akili zao (their understanding), na ELIMU ya uchawi inafanana na jambo hilo. Ni "branch" ya sayansi ambayo kadiri muda unavyozidi utapata umaarufu na manufaa kwa watu yataonekana, hapa sizungumzii juu ya uchawi wa misukule na kuwanga na kuroga watu nazungumzia uchawi wenye manufaa na faida kwa watu.
Kiufupi ameshindwa kujibu hoja ya mada kuu
 
Mkuu, umejaribu kuelezea kitu usichokijua, hivyo umeeleza kulingana na upeo wako na mbaya zaidi umehitimisha kwa kutia hukumu (decree) kwamba uchawi hakuna.

Yakupasa kwanza utafute tafsiri ya uchawi (the definition), na uwaulize wanaojua kuliko kupinga kitu usichojua.

Leo hii kuna watu wanapinga nguvu za uvutano (universal gravitation) si, kwasababu nguvu hizo hazipo bali haelewi na kutambua bali hawana uwezo wa kuelewa kutokana na upeo finyu wa akili zao (their understanding), na ELIMU ya uchawi inafanana na jambo hilo. Ni "branch" ya sayansi ambayo kadiri muda unavyozidi utapata umaarufu na manufaa kwa watu yataonekana, hapa sizungumzii juu ya uchawi wa misukule na kuwanga na kuroga watu nazungumzia uchawi wenye manufaa na faida kwa watu.
Jibu kulingana na hoja ya mshana Jr je! Kuna watu wanaoruka na ungo na fimbpo yaan kitu chochote kischokuwa na engine machine?
 
  • Thanks
Reactions: uth
Nimekujibu kwa ufupi ili ujue aina ya uchawi uliouzungumzia wew hakuna na hautakuepo....ila kuhusu hayo maswali yako ngoja nirudi. Nitakupa elimu inayoeleweka muache kutsha watu na vitu vya mdomoni tu ihali wenyewe ata sio watendaji na hata hamjawah kuwaona hao watendaj mnaodhani wapo ...Nb: malaika Ni malaika MTU Ni MTU .
Mchawi sio shetani ninyi mnasema Ni MTU ..
Na shetan sio mchawi Ni shetani ambaye Ni malaika.

Narudi.
Ok sawa asante kwa mchango ila nina maswali machache
Je baada ya binadamu kuumbwa kwa udongo kuna kingine kilifanyika? Kumbuka kuhusu pumzi ya uhai aliyopuliziwa.... Je unaifahamu hii pumzi ni kitu gani?
Hawa unaowaita malaika je ndio roho zenyewe? Kama ndio hivyo kwanini mwanadamu awe na roho?
 
  • Thanks
Reactions: uth
Nimekujibu kwa ufupi ili ujue aina ya uchawi uliouzungumzia wew hakuna na hautakuepo....ila kuhusu hayo maswali yako ngoja nirudi. Nitakupa elimu inayoeleweka muache kutsha watu na vitu vya mdomoni tu ihali wenyewe ata sio watendaji na hata hamjawah kuwaona hao watendaj mnaodhani wapo ...Nb: malaika Ni malaika MTU Ni MTU .
Mchawi sio shetani ninyi mnasema Ni MTU ..
Na shetan sio mchawi Ni shetani ambaye Ni malaika.

Narudi.
Naomba ujibu kwa utulivu hoja kwa hoja
 
  • Thanks
Reactions: uth
Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless communications... Nusu saa kubwa utaanza kuumwa tumbo na kuharisha sana! Tiba yake ni nini? Unga fulani imekaa kama magadi unaitwa MAKATA... ukishakunywa hiyo dakika kumi nyingi umeshapona! SAYANSI hapa ingefanya nini? Ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza bacteria wenye virus wa ugonjwa wa kuhara... Ingetafutwa njia na kumwambukiza mtu hao virus kisha aanze kuumwa... N baada ya hapo ungeanza mchakato wa matibabu.... Uchawi hauna longolongo zote hizo ni hit n run... Finish.... Na infant wireless transmission theory ni copy n paste toka kwenye uchawi

Mfano wa pili kupaa angani ama kusafiri..
Mchawi ana njia tatu rahisi sana
1.kwa kutumia kifaa kama ungo, fimbo ama ungo. Usafiri wa angani
2. Kutumia mnyama kama fisi nk.. Usafiri wa nchi kavu.
3. Kutumia wireless transmission.. Unajiandaa kisha unafumba macho... Sekunde kadhaa ukifungua umeshafika.. Hii inaitwa serve all purpose.. Mwendokasi wake ni zaidi ya supersonic speed... Kwa usafiri huo kama ni sayansi ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza ndege magari na vyombo vya majini.. Na ingechukua muda na taratibu nyingi...

Mfano wa tatu.... Kuingia ndani kwa mtu... Kupitia pembe ya nyumba ama chumba chako... Mchawi ana uwezo wa kuingia na kukufanya chochote atakacho na akaondoka salama ukiwa wala hujui ulichifanyiwa.. Utastuka akishaondoka... (Usiwaze popobawa) sayansi haina uwezo huo... Wamejaribu wameshindwa..

Mfano wa NNE fumanizi la kunasiana... Ama kunasishwa mziho au kitu ulichoiba... Hii magnetism theory bado sana sayansi kufika huku....
Sayansi ina limitations nyingi kuliko uchawi.. Sayansi ni ubunifu wa kibinadamu kukopi nguvu asili zisizoonekana lakini zinafanya kazi na matokeo yanaonekana... Inapoishia sayansi ndipo uchawi unapoanzia.. Na kwakuwa sayansi ndio inaiga na kuhawilisha hivyo kamwe haiwezi kutenda kama halisi.....

Tofauti kubwa iliyopo kati ya SAYANSI na UCHAWI ni ITHIBATI... sayansi ina ithibati japo si kwa aslimia miamoja... Uchawi hauna ITHIBATI lakini matokeo yake ni asilimia mia moja.... Sababu ni moja tu... Uchawi una asili ya ulimwengu wa roho... Na ulimwengu wa roho ndio ulianza kabla ya ulimwengu wa macho ulimwengu wa sayansi....
Kiumbaji binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa hivyo hata awe mjuzi na mbunifu Kiasi gani hataweza kufanya kitu kwa mafanikio ya asilimia mia moja bila kugusa ulimwengu wa roho... Ukisoma The mason doctrine utanielewa vema....

Asubuhi njema!
Na unapoishia uchawi ndipo Mungu anapoanzia kazi zake..!

I choose to follow Jesus.
 
Jibu kulingana na hoja ya mshana Jr je! Kuna watu wanaoruka na ungo na fimbpo yaan kitu chochote kischokuwa na engine machine?



Mkuu, Anikanjema, wewe hujasikia kitu kinachoitwa "LAVITATION"?? ,(sijui kiswahili chake). Kuna watu wanafanya hii "levitation " hadharani kulingana na nguvu zilizomo mwilini mwao, hii ni aina fulani ya "Hypnotism" ---- sasa kuruka angani au kuelea angani (lavitation) ni mojawapo ya nguvu ya "hypnotic".
 
mkuu samahan swali langu je? kwanini wachawi hawawezi na huwa wanashindwa kuingia NMB, CRDB, etc



Labda mimi niulize, Wachawi waingie humo NMB au CRDB kufanya nini??. Wapo wateja ambao ni wachawi na wanazo account katika hizo bank na huwa wanaingia kufanya miamala, au wewe unataka waingie kufanya nini zaidi ya hapo??!!
 
  • Thanks
Reactions: uth
Labda mimi niulize, Wachawi waingie humo NMB au CRDB kufanya nini??. Wapo wateja ambao ni wachawi na wanazo account katika hizo bank na huwa wanaingia kufanya miamala, au wewe unataka waingie kufanya nini zaidi ya hapo??!!
uelewa wako ni mdogo sana kwenye kuelewa maswali, ingekuwa hivyo sidhani kama ningeuliza sawli hilo...
kiufupi uchawi unaanzia sayansi inapoishia, nilitaka kujua ni kwanini ni vigumu fedha zilizopo kwenye mabenk ni vigumu kuibwa kiuchawi wakati kule sayansi ndio iliyotumika.?
kama una majibu nijibu kama huna kausha tumngoje @Mshanar Jr.
 
  • Thanks
Reactions: uth
uelewa wako ni mdogo sana kwenye kuelewa maswali, ingekuwa hivyo sidhani kama ningeuliza sawli hilo...
kiufupi uchawi unaanzia sayansi inapoishia, nilitaka kujua ni kwanini ni vigumu fedha zilizopo kwenye mabenk ni vigumu kuibwa kiuchawi wakati kule sayansi ndio iliyotumika.?
kama una majibu nijibu kama huna kausha tumngoje @Mshanar Jr.



Majibu yapo, kwa kuwa wewe unataka nikujibu katika njia inayokupendeza basi, kama unavyotaka, ninampisha Mkuu Mshana jr, aje kukujibu.

Karibu mkuu Mshana jr.🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
mkuu samahan swali langu je? kwanini wachawi hawawezi na huwa wanashindwa kuingia NMB, CRDB, etc
Kwanza hata wakiingia hutajua
Pili mchawi hahitaji kuingia huko ili apate pesa akizihitaji atazipata kwa njia nyingine nyingi tu
 
uelewa wako ni mdogo sana kwenye kuelewa maswali, ingekuwa hivyo sidhani kama ningeuliza sawli hilo...
kiufupi uchawi unaanzia sayansi inapoishia, nilitaka kujua ni kwanini ni vigumu fedha zilizopo kwenye mabenk ni vigumu kuibwa kiuchawi wakati kule sayansi ndio iliyotumika.?
kama una majibu nijibu kama huna kausha tumngoje @Mshanar Jr.
Mchawi hahitaji pesa hizo za bank kwakuwa hana matumizi nazo... Akihitaji chochote anakipata
 
  • Thanks
Reactions: uth
Back
Top Bottom