Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.