Unapoenda kuabudu kwa kuhani Musa Kimara Temboni zingatia haya

Unapoenda kuabudu kwa kuhani Musa Kimara Temboni zingatia haya

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.

1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.

2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.

3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.

3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.

Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.

Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.

Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
 
3.Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe..
Salaam hii nimeipenda sana; NI NZITO SANA.

KUSIFIWA hata mimi naweza KUSIFIWA, tena hata kwa jambo la kijinga; lakini KUTUKUZWA, siku zote huwa ANATUKUZWA MUNGU PEKE YAKE. Hayupo kiumbe mwingine yeyote yule mwenye kustahili sifa hii ya KUTUKUZWA, isipokuwa MUNGU PEKE YAKE

I like the SALAAM; I could as well adopt it at our church, if possible
 
Hee aisee sasa wakitoka hio saa sita usiku wanarudi aje makwao au huko kuna usafiri masaa 24?

Waumini wa hapo wana kazi sana masharti mengi, mida mibovu.
Ajabu Ni kwamba mm nimewai kusali pale had mida hyo Ila ukitoka tu uwezi kosa gari. La kukupeleka kukote unakotaka Hapa DSM.

Nina chofurahia Zaid Kuna yule mtu anamfatilizia kuhani Musa Kaz yake yey nikuitikiaa tu utasikiaa ndiooooooo ndiyoooo

Bwana yesu kristo atukuzwe
 
Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.


1.Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.

2.Hairuhusiwi kusinzia ibadani.

3.Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.

3.Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.

Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.

Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.

Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Asante kwa taarifa...
 
Salaam hii nimeipenda sana; NI NZITO SANA.

KUSIFIWA hata mimi naweza KUSIFIWA, tena hata kwa jambo la kijinga; lakini KUTUKUZWA, siku zote huwa ANATUKUZWA MUNGU PEKE YAKE. Hayupo kiumbe mwingine yeyote yule mwenye kustahili sifa hii ya KUTUKUZWA, isipokuwa MUNGU PEKE YAKE

I like the SALAAM; I could as well adopt it at our church, if possible
na uyo salumu ni nani?
 
Salaam hii nimeipenda sana; NI NZITO SANA.

KUSIFIWA hata mimi naweza KUSIFIWA, tena hata kwa jambo la kijinga; lakini KUTUKUZWA, siku zote huwa ANATUKUZWA MUNGU PEKE YAKE. Hayupo kiumbe mwingine yeyote yule mwenye kustahili sifa hii ya KUTUKUZWA, isipokuwa MUNGU PEKE YAKE

I like the SALAAM; I could as well adopt it at our church, if possible
Na wewe miongoni mwao
 
Back
Top Bottom