mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
DuhNasikia ukitaka kuona nae personally inatakiwa kulipa sadaka kubwa na kujaza fomu ya appointment
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhNasikia ukitaka kuona nae personally inatakiwa kulipa sadaka kubwa na kujaza fomu ya appointment
soma vizurina uyo salumu ni nani?
Kimara Temboni kama sikosei. Mkono wa kulia kama unaenda Kibaha ukitoka Dar. I stand to be correctedNadhani Calabash. Ukitoka Mwenge ikiwa unaenda Ubungo,ni kituo cha kwanza tu kiitwacho Mpakani. Upande wa kulia kwako.
Nikijisahau nikavunja Masharti nitapewa adhabu gani Mkuu?Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Kuna usanii mwingi sana, watu wanageuzwa kuwa fursaMakanisa ni mengi kuliko viwanda!
Watu wanageuzwa chuma uleteNa kilimo kiongezewe juhudi
Maana kwa style hii dah
Ova
Vipi kwenda bila fungu la kumi wanaruhusu?Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Huu sasa ukorofiNtaenda na ntafanya kinyume na yote hayo na hakuna wakunifanya kitu
Mankinds search for God ina vimbwanga vingi sanaWengine wanakesha kanisani...
Kimara TemboniHii kanisa liko maeneo gani?
Mtaa na maelekezo
Uwongo dhambi hata mimi nimeipendaSalaam hii nimeipenda sana; NI NZITO SANA.
KUSIFIWA hata mimi naweza KUSIFIWA, tena hata kwa jambo la kijinga; lakini KUTUKUZWA, siku zote huwa ANATUKUZWA MUNGU PEKE YAKE. Hayupo kiumbe mwingine yeyote yule mwenye kustahili sifa hii ya KUTUKUZWA, isipokuwa MUNGU PEKE YAKE
I like the SALAAM; I could as well adopt it at our church, if possible
Umemsahau SuguyeWanasema kutesa kwa zam. Alianza Kakobe, nikamsikia Lusekelo, Mwingira, Gwajima, na Sasa Musa na Mwamposa. Wanaotangulia huwa wanachuja!? Au inakuwaje!?
Hee kumbeMchagga aliyeshindwa seminari ya katoliki na kukimbilì Dar kwenda kuanzisha taasisi yake binafsi ambapo sadaka zinakwenda kwake lakini bado ukatoliki unamsuta maaana anaiga mishono ya kanzu za mapadri wa kikatoliki