Unapoenda kuabudu kwa kuhani Musa Kimara Temboni zingatia haya

Unapoenda kuabudu kwa kuhani Musa Kimara Temboni zingatia haya

Nadhani Calabash. Ukitoka Mwenge ikiwa unaenda Ubungo,ni kituo cha kwanza tu kiitwacho Mpakani. Upande wa kulia kwako.
Kimara Temboni kama sikosei. Mkono wa kulia kama unaenda Kibaha ukitoka Dar. I stand to be corrected
 
Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.

1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.

2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.

3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.

3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.

Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.

Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.

Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Nikijisahau nikavunja Masharti nitapewa adhabu gani Mkuu?
 
Wanasema kutesa kwa zam. Alianza Kakobe, nikamsikia Lusekelo, Mwingira, Gwajima, na Sasa Musa na Mwamposa. Wanaotangulia huwa wanachuja!? Au inakuwaje!?
 
Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.

1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.

2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.

3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.

3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.

Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.

Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.

Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Vipi kwenda bila fungu la kumi wanaruhusu?
 
Mchagga aliyeshindwa seminari ya katoliki na kukimbilì Dar kwenda kuanzisha taasisi yake binafsi ambapo sadaka zinakwenda kwake lakini bado ukatoliki unamsuta maaana anaiga mishono ya kanzu za mapadri wa kikatoliki
 
Huu ufara siwezi kuufanya. Ni wendawazimu tu watafata hayo masharti.

Yani unasali saa 12 asubuhi mpaka saa 3 usiku? Hata Mungu atalaani.
 
Salaam hii nimeipenda sana; NI NZITO SANA.

KUSIFIWA hata mimi naweza KUSIFIWA, tena hata kwa jambo la kijinga; lakini KUTUKUZWA, siku zote huwa ANATUKUZWA MUNGU PEKE YAKE. Hayupo kiumbe mwingine yeyote yule mwenye kustahili sifa hii ya KUTUKUZWA, isipokuwa MUNGU PEKE YAKE

I like the SALAAM; I could as well adopt it at our church, if possible
Uwongo dhambi hata mimi nimeipenda
 
Mchagga aliyeshindwa seminari ya katoliki na kukimbilì Dar kwenda kuanzisha taasisi yake binafsi ambapo sadaka zinakwenda kwake lakini bado ukatoliki unamsuta maaana anaiga mishono ya kanzu za mapadri wa kikatoliki
Hee kumbe
 
Back
Top Bottom