ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Makanisa ni mengi kuliko viwanda!Tufanye kazi na tufungue viwanda vingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makanisa ni mengi kuliko viwanda!Tufanye kazi na tufungue viwanda vingi
Kimara Temboni...Hii kanisa liko maeneo gani?
Mtaa na maelekezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ntaenda na ntafanya kinyume na yote hayo na hakuna wakunifanya kitu
Na ukifata yote hayo badae inakuwaje?unapata pesa nyingi,shida zinaisha?maisha yako yanakuwa Bora zaidi,au unakuwa kama Bakheresa,Dangote,Eron musk,au?Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Kimara kituo Cha Temboni.Hii kanisa liko maeneo gani?
Mtaa na maelekezo
Kama ile ya mwanaume kuahidiwa mabikra sabini na mwanamke kuahidiwa njemba sabini zimshughulikie Mara tu akifa.Imani nyingineni mateso
hapana huko alishahama tangu mwaka juzi ni hapo KIMARA TEMBONI ndipo ngome ya Yesu ilipoNadhani Calabash. Ukitoka Mwenge ikiwa unaenda Ubungo,ni kituo cha kwanza tu kiitwacho Mpakani. Upande wa kulia kwako.
Kati ya jamii inayoteswa na mapokeo ya kizee yaliyo maagizo ya wanadamu ni ya kikristo.Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
na uyo salumu ni nani?
Kupiga picha, pale siyo Royo Tua.Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Walishahama hapoNadhani Calabash. Ukitoka Mwenge ikiwa unaenda Ubungo,ni kituo cha kwanza tu kiitwacho Mpakani. Upande wa kulia kwako.
Na kilimo kiongezewe juhudiTufanye kazi na tufungue viwanda vingi