Unapoenda kuabudu kwa kuhani Musa Kimara Temboni zingatia haya

Nadhani Calabash. Ukitoka Mwenge ikiwa unaenda Ubungo,ni kituo cha kwanza tu kiitwacho Mpakani. Upande wa kulia kwako.
Sasa wewe umeelekezwa Kimara Temboni unaleta habari za Mwenge mpakani. Kama hupajui si unanyamaza waumini watoe jografia ya eneo?
 
masharti ya kiganga.
 
Hio ibada gani asubugi hadi sa tatu usiku?

Ndio mnatuharibia ratiba za familia zetu kiukweli

Mtu anaondoka asubuhi kaacha familia hajui inakwendaje sikuhiyo


Sipingi ibada lakini badilisheni ratiba
Ndoa zikivunjika wasiwalaumu wadada wa kazi. Maan waumini wengi hapo ni wanawake
 
Hili ungeanza na mwingine anaitwa Mashimo na kundi lake pale stendi ya daladala mbezi mwisho. Wanahubiri kila asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…