maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Sasa wewe umeelekezwa Kimara Temboni unaleta habari za Mwenge mpakani. Kama hupajui si unanyamaza waumini watoe jografia ya eneo?Nadhani Calabash. Ukitoka Mwenge ikiwa unaenda Ubungo,ni kituo cha kwanza tu kiitwacho Mpakani. Upande wa kulia kwako.
masharti ya kiganga.Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna wasimamia ibada ambao wanawaangalia waumini wakati wa ibada ili kufata masharti haya.
Ratiba ya Ibada ni Jumanne saa 9 mchana mpaka saa 6 usiku ,Ijumaa muda huo huo.
Jumapili muda kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 au 3 usiku.
Wewe unasaligi hapo?Wanasalimia Bwana YESU atukuzwe...
Wanaitikia AMINA...
NdioWewe unasaligi hapo?
Ndoa zikivunjika wasiwalaumu wadada wa kazi. Maan waumini wengi hapo ni wanawakeHio ibada gani asubugi hadi sa tatu usiku?
Ndio mnatuharibia ratiba za familia zetu kiukweli
Mtu anaondoka asubuhi kaacha familia hajui inakwendaje sikuhiyo
Sipingi ibada lakini badilisheni ratiba
Kimara temboniHii kanisa liko maeneo gani?
Mtaa na maelekezo
UzushiiNadhani Calabash. Ukitoka Mwenge ikiwa unaenda Ubungo,ni kituo cha kwanza tu kiitwacho Mpakani. Upande wa kulia kwako.
Hili ungeanza na mwingine anaitwa Mashimo na kundi lake pale stendi ya daladala mbezi mwisho. Wanahubiri kila asubuhiHizo siku za kuabudu ni nyingi na huo muda ni mrefu sana.
Siku ya kuabudu iwe Jpili tu, hizo siku nyingine Watu wakafanye kazi maana ibada sio kazi...Hao anaotaka waende ibadani siku za kazi ni nani atazalisha kwa niaba yao? nani ataijenga nchi kwa niaba yao?.