cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Poleeee kwa masaibu!! Kaza butii watu ni wengi huku uraiani, chagua mmoko ishi nae.Nikazama tena mniite Mbwa[emoji90]
Life fupi hili weyeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleeee kwa masaibu!! Kaza butii watu ni wengi huku uraiani, chagua mmoko ishi nae.Nikazama tena mniite Mbwa[emoji90]
Kuwa na roho ya huruma...Bado hujasema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husna? Nnao mashost kina Husna wako mtu 2 aseeh ni noumaaah!!Maji na hakina Husna sijarudia tena[emoji22]
Unapatikana wapi nikukaze wenge likateMahusiano yalinitesa sanaa Nikawa wakulialia Nikashindwa ku move on kutokana nilikuwa kipofu sikuona Mlango wa kutokea Nililuzi concentration baazi ya Mipango yangu na Mambo yangu kiujumla.
Hakikisha unatake care Roho yako, nafsi pamojah na mwili wako Jitahidi kujilinda
Hivyo jlivyo wewe ni wadhaman sana.
View attachment 3040743
Mkuu pole sana aiseerMimi mwenyewe mahusiano yangu yapo ICU ila poa tuu siwazi wala nini.
Nimemhurumia adi nimelia hapaKuwa na roho ya huruma...
Huna mtoto wewe ahahaha
Aaaah ndo wapi wewe ...Nimemhurumia adi nimelia hapa
Maisha haya.....
Kuna wengine tunawaza tunawakwepa vipi...,,
Maana kila day ni wapenzi wapya tu....
Nikikumbuka hera za vijola na kusuka😢😭😭[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husna? Nnao mashost kina Husna wako mtu 2 aseeh ni noumaaah!!
Kimekulambaaa, Woiiiiih
😀😀😀😀😀Kwani kimetokea nn? Mbona ghafla sana? Afu usiku mnene?
Kwemaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu ipo hivi...Nikikumbuka hera za vijola na kusuka😢😭😭
Si ndioAaaah ndo wapi wewe ...
Naona huko una chekelea adi aseme au sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kimekukuta kituuu!! Em Relaaaaxxx!!!Nikikumbuka hera za vijola na kusuka[emoji22][emoji24][emoji24]
Bila shaka huu muandiko ni wa kvantNikazama tena mniite Mbwa💩
Sasa mpe maneno yenye kufariji...Si ndio
Distance relationship ni shida yani sasa hivi inaweza pita siku nzima hakuna aliyemtafuta mwenzie na fresh tuu😁Mkuu pole sana aiseer