Mguu pande
Member
- Jun 12, 2024
- 17
- 40
Mkuu huyo ni wewe kwenye picha hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee ukarudishee shahawa zako ulizokojoleaa.Nmemsamehe Lakini arudishe vitu alivyokula kwanza[emoji24][emoji24][emoji24]
Nilifundisha na bibi kijijini jinsi ya kupenda😂Hawa wapuuzi wanaoteseka na obsession (mnaita mapenzi) juu ya binadamu mwengine siwaelewi kabisa.
Yaani seriously kabisa mtu mzima kabisa unakosa kulala mpaka kulia kisa kambuzi kamoja hivi kanachooga poda? Why?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo Ni haki yangu
Nalinda brand mkuu, ni mwaka sasa hatujaonana na mawasiliano yameanza kuzolota mwezi huu labda kuna mjuba kashanipindua. Kumtafuta sana ni kushusha brand tho bado nampenda ila naamini kama ilipangwa kua itakua na kama haijapanda hata ufanye nini ni kazi bure.Mkuu kama bado unampenda mtafute...
Hayo mambo wanayaweza wachache ma nilishasema hapa kuhusu mambo ya long distance relationship
Weka Imani Kubwa juu ya penzi lenu la mbali😐Nalinda brand mkuu, ni mwaka sasa hatujaonana na mawasiliano yameanza kuzolota mwezi huu labda kuna mjuba kashanipindua. Kumtafuta sana ni kushusha brand tho bado nampenda ila naamini kama ilipangwa kua itakua na kama haijapanda hata ufanye nini ni kazi bure.
Ngoja tuone ila nishajiandaa kwa lolote litakalo tokea.Weka Imani Kubwa juu ya penzi lenu la mbali😐
Unakitu ,memories never dieEnjoy today let tomorrow take care of itself..., hata kama kesho mkiyakoroga atleast you had yesterday.... Remember the good times and good memories....
Like the saying in Casablanca.... We will Always have Paris....
Ukorofi huo😂Bado hujasema