Unapoingia kwenye mahusiano, hakikisha unajua jinsi ya kutoka endapo penzi litafikia tamati

Ahahahahah Shafiii brand au sioooo
.... Tatizo wewe ukute ulikua kazi yako kutuma salamu tuu ila kutuma pesa aaaah
 
Ahahahahah Shafiii brand au sioooo
.... Tatizo wewe ukute ulikua kazi yako kutuma salamu tuu ila kutuma pesa aaaah
 
Mapenzi mapenzi mapenziii....nilikuwa hadi jumamosi naenda kanisanii na jumapili namsindikiza na yeye kanisanii...yaani nasali mara mbili ...lakini wapii??? Mlango Uwe mpana au mwembamba ....kutoa penzinj ni SUICIDE 😊 😊 😊 😊 😊
 
Mahusiano yataisha kwa nyie ote kupunguza au kuisha kwa vile vitu mlivyozoeana kupeana mfano upendo, muda, pesa na furaha.
Japokuwa kila mtu anatakiwa atambue dhamira ya yake mfano mahusiano ya kimaendeleo. Mmoja akienda kinyume na hapo kila mtu ni rahisi kupita zake shwaaaaa. #NAWAPENDA
 
kumbuka tu kuwa wanawake wapo zaidi ya milioni kumi
unakubali kuteswa na kamtu kamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…