Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Tukaze mkuu life hili hiliAmna Mkuu πhata hera sina
Ahahahahah Shafiii brand au siooooNalinda brand mkuu, ni mwaka sasa hatujaonana na mawasiliano yameanza kuzolota mwezi huu labda kuna mjuba kashanipindua. Kumtafuta sana ni kushusha brand tho bado nampenda ila naamini kama ilipangwa kua itakua na kama haijapanda hata ufanye nini ni kazi bure.
Ahahahahah Shafiii brand au siooooNalinda brand mkuu, ni mwaka sasa hatujaonana na mawasiliano yameanza kuzolota mwezi huu labda kuna mjuba kashanipindua. Kumtafuta sana ni kushusha brand tho bado nampenda ila naamini kama ilipangwa kua itakua na kama haijapanda hata ufanye nini ni kazi bure.
Kaza ndio ushabatizwa hivyo kuja kuumizwa ni maamuzi yako mwenyewe.Nmekaza Ndio Maana bado Napumuaπ
πππ kama kuna kaukweli.Ahahahahah Shafiii brand au sioooo
.... Tatizo wewe ukute ulikua kazi yako kutuma salamu tuu ila kutuma pesa aaaah
ππΎββοΈ
kumbuka tu kuwa wanawake wapo zaidi ya milioni kumiMahusiano yalinitesa sanaa Nikawa wakulialia Nikashindwa ku move on kutokana nilikuwa kipofu sikuona Mlango wa kutokea Nililuzi concentration baazi ya Mipango yangu na Mambo yangu kiujumla.
Hakikisha unatake care Roho yako, nafsi pamojah na mwili wako Jitahidi kujilinda
Hivyo jlivyo wewe ni wadhaman sana.
View attachment 3040743