EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Unapojiona upo kwenye faragha chooni unajikakamua gogo litoke mpaka macho yanakutoka kamq baunsa la amadou amadou ujue hauko peke yako unakuwa na mwenyeji wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi yako huwa inashuhudiwa mkuutusitishane.
Sasa shida ipo wapi?Unapojiona upo kwenye faragha chooni unajikakamua gogo litoke mpaka macho yanakutoka ujue hauko peke yako unakuwa na mwenyeji wako.
View attachment 3225915
😉😉😉😉🫠🫠🫠🫠Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Kama mwenyeji ni wa kiume kazi unayo na wala hutajua kama mali zako zaliwaBasi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Wazungu wenyewe wanalitambua hili ndio maana kwa kiingereza tunapata toilet 😈Imani hizi tunazo waswahili kwenye vyoo vya makuti na mashimo
Mzungu na choo chake safi Cha kuflash Kwa ndani Wala!
Sasa ina maana gani kula kimya kimya? Raha mtu ule live, mle mlishane watu wajue vimeliwa....Kama mwenyeji ni wa kiume kazi unayo na wala hutajua kama mali zako zaliwa
Zaidi ya kupiga chabo ni kazi gani nyingine anafanya?Unapojiona upo kwenye faragha chooni unajikakamua gogo litoke mpaka macho yanakutoka ujue hauko peke yako unakuwa na mwenyeji wako.
View attachment 3225915
Story za watoto wa chekechea na la kwanza C hizi.Unapojiona upo kwenye faragha chooni unajikakamua gogo litoke mpaka macho yanakutoka ujue hauko peke yako unakuwa na mwenyeji wako.
View attachment 3225915
Raha yako haimuhusu yeye anataka yake tu,yeye anakuwa kama yuko na mtu ila wewe ndio hujui chichote hivyo yeye raha apataSasa ina maana gani kula kimya kimya? Raha mtu ule live, mle mlishane watu wajue vimeliwa....
Hata hainisumbui, anayeteseka ni yeye🤣🤣🤣
Nipishe hukoWazungu wenyewe wanalitambua hili ndio maana kwa kiingereza tunapata toilet 😈
Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
"Trrrrrr pa aah, shandapha aaah" 😂😂😂Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Habari ya bonyokwa?Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣