Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Daah ushaniharibia kazi!!Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ushaniharibia kazi!!Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Hongera embu tupe faida za ushirikina, umekunufaishaje?Mshirikina mbobevu
Mwenye wowowo lakeBasi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Inategemea bafu la namna gani,uswahilini au!!?,na kwanini utingishe!!,ni biashara?Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Anatingisha Kwa raha yake,Inategemea bafu la namna gani,uswahilini au!!?,na kwanini utingishe!!,ni biashara?
Huwezi kuelewa wewe katoto kaçhanga hivi vitu si vya level yako kabisaHongera embu tupe faida za ushirikina, umekunufaishaje?
Anakula mavi yetu siunajua mashetani hayaishiwi vitukoAnafanya nini humo sasa? Haoni wivu!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwee! Ina mana ukiwa singo halafu usipoenda kukata gogo siku 2 nzima atakuwa na wakati mgumu sana kwani atakuwa analalaga njaa?Anakula mavi yetu siunajua mashetani hayaishiwi vituko
aloo naomba niwe dodoki lako mama kBasi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Ya kwenye chemba si yapoMwee! Ina mana ukiwa singo halafu usipoenda kukata gogo siku 2 nzima atakuwa na wakati mgumu sana kwani atakuwa analalaga njaa?
Aaaah! Hayo yanakuwa yamesha chacha au bado kwake ni posho??Ya kwenye chemba si yapo
Anaishi huko,mchawi akitaka mavi ya kuyakanyaga ili pia aje kukanyaga chakula unachokula anamtumia huyuAnafanya. Nini?
Je; Malipo yakoje au Huwa analipwa nini kwa kazi hiyo?Anaishi huko,mchawi akitaka mavi ya kuyakanyaga ili pia aje kukanyaga chakula unachokula anamtumia huyu
Usicheze na mashetani baba kitu kama kinakaa huko chochote cha huko ni chake,ni maruhani machafu na ni ya mikosi,ni moja ya mashetani yanayotumiwa na wachawi kuwapa watu nuksi/mikosiAaaah! Hayo yanakuwa yamesha chacha au bado kwake ni posho??
Mlango nafunga na fungo na tembea nayo anatokaje? Na aliingiajeAnaishi huko,mchawi akitaka mavi ya kuyakanyaga ili pia aje kukanyaga chakula unachokula anamtumia huyu
Furaha yao ni kuwatesa wanadamu ni hicho tu ndio maana yanaitwa roho chafu hayana wema hata kidogoJe; Malipo yakoje au Huwa analipwa nini kwa kazi hiyo?