Unapokuwa chooni peke yako huwa hauwi peke yako

Unapokuwa chooni peke yako huwa hauwi peke yako

Unapojiona upo kwenye faragha chooni unajikakamua gogo litoke mpaka macho yanakutoka kamq baunsa la amadou amadou ujue hauko peke yako unakuwa na mwenyeji wako.
View attachment 3225915
Tukiwa tunakula kitimoto peke yetu mbona mashaeik wanatuambia haramu wakati tupo peke yetu na ndizi mzuzu.
 
Tukiwa tunakula kitimoto peke yetu mbona mashaeik wanatuambia haramu wakati tupo peke yetu na ndizi mzuzu.
Hivyo vitu hao wazee hawataki kabisa kuvisikia wala kuvisogelea havipatani nao kabisa
 
Back
Top Bottom