Unapokuwa chooni peke yako huwa hauwi peke yako

Na sisi wa pull je....? Tunakuwaga na yupi.......?? Awe wa kike basi na mahips makubwa makubwa ili tuwai kumaliza shughuri zetu
 
Raha yako haimuhusu yeye anataka yake tu,yeye anakuwa kama yuko na mtu ilaa wewe ndio hujui chichote hivyo yeye raha apata
Atajijua mwenyewe, mi sijali lolote.....yani nipoo kwa kujibana bana, nioge kama naimba wimbo wa taifa kisa mwenyejiii...🤣🤣🤣🤣 as if alichangia tofali🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…