Hamna lolote. Siku moja ktk. wiki huwa napuizaga rungu kwa ajili ya mbu. Kazi anayo ujue.Usicheze na mashetani baba kitu kama kinakaa huko chochote cha huko ni chake,ni maruhani machafu na ni ya mikosi,ni moja ya mashetani yanayotumiwa na wachawi kuwapa watu nuksi/mikosi
Nenda tu mbona kila siku unaendaNilitaka niende kunya saa nne hii ila huu uzi umenitisha.. ntaenda majogoo
Sasa rungu ndio itamkimbiza ruhaniHamna lolote. Siku moja ktk. wiki huwa napuizaga rungu kwa ajili ya mbu. Kazi anayo ujue.
Hawawezi kutumika kama walinzi?Furaha yao ni kuwatesa wanadamu ni hicho tu ndio maana yanaitwa roho chafu hayana wema hata kidogo
Wanawake kitu mna fikiriaga ni wowowo tuu.Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Weee! Usifanye masikhara na rungu. Ukali wa kemikali iliyo ndani yake ni balaa.Sasa rungu ndio itamkimbiza ruhani
Hata kidogo haya ni mashetani ya uharibifuHawawezi kutumika kama walinzi?
Umenitia nyege 😢Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
Waw! Kumbe Hawa wakiwa wengi ni EvilSpirits.Singular ni EvilSpirit si ndio?Hata kidogo haya ni mashetani ya uharibifu
Usikute hilo zombi huwa linakubambia.. 😂🤣Basi nikiwa naoga wanafaidiii hao wenyeji, manake nikiwa najisuguaga wowowo huwa nalitikisa kidogo🤣🤣🤣
HahahaUsiku
Usikute hilo zombi huwa linakubambia.. 😂🤣
Duh!Waw! Kumbe Hawa wakiwa wengi ni EvilSpirits.Singular ni EvilSpirit si ndio?
HakikaHadithi za madrasa hizo pelekea watoto
Kwani mkuu; kwenye ile selfcontained room ya Tzs.25,000/= + si unalipia na unalala nayo mumohumo hutoki nje?Leo kuna watu watalala na mavi yao kwa kuogopa kwenda kunya na ndio lengo langu