Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

Kwanza kabisa nammisigi My one and onliiii friend, my dear one, my furendiiiiii a furendi in deed So loving, so caring so unique!

Ananijalii sanaaa na kunishaurii sanaaa pia amenibadilisha sana!!

Abarikiwe mnooo mnoooo rafiki yangu huyu!!

Si mwingine bali ni My dear!
 
Babu yangu Shimba ya Buyenze

Huyu Babu ya ukweli,

Pili huyu Babu was mchongo Grahams [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],hatareeeeee Sana.




Tatu nawamiss woteeeeee,wanaonipenda na wanaonichukia,hii ndiyo DUNIA

Nawapenda.
 
Asante sana mjukuu wangu mwema na uliyebarikiwa sana. Sisi ni ndugu. Always remember that mjukuu.

Nakupenda sana mjukuu wangu πŸ™πŸΏ. Ila uwaambie mzabzab na lile lijamaa la kuitwa Foxhound wakae mbali nawe maana kitakachokuja kuwapata haki ya nani watakuja kusimulia 😬😬😬😬πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ

 
Babu fox haumuamini[emoji23],yule si alishasarenda[emoji16]

Mzabzab namuita kaka.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Greatest Of All Time na Mpwayungu Village
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…