Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes indeedLaki.? Wakati mtu anakupigia mahesabu katumia 15k kwa mwanamke anauliza huyo mwanamke anampenda au anatumia tu pesa zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ila wanaume wanapenda kuwapa pesa wanawake wanaowapenda basi tu vipato vinawaangusha
Laki.? Wakati mtu anakupigia mahesabu katumia 15k kwa mwanamke anauliza huyo mwanamke anampenda au anatumia tu pesa zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ila wanaume wanapenda kuwapa pesa wanawake wanaowapenda basi tu vipato vinawaangusha
Ni kastory tu bwashee "huwa tunahonga hadi milioni 100 [emoji7][emoji7]
Ila mwanaume asietumia pesa hajawahi kunoga kabisa ndo vile tu unakuta jimoyo limemdondokea[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dah
Ila mwanaume asietumia pesa hajawahi kunoga kabisa ndo vile tu unakuta jimoyo limemdondokea
legendary 👍🏽Pesa inapunguza kujieleza,
Anajaa TU kwenye laini anakupa unachotaka[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile haziishagi ujue...Mbona hujawahi nitumia hata ya Windhoek moja babu? Zipo bado nifanyie mpango nizile
Sasa sisi maskini tutakuwa wageni wa nani ?Ila mwanaume asietumia pesa hajawahi kunoga kabisa ndo vile tu unakuta jimoyo limemdondokea
[emoji1787][emoji1787]..kwamba ni ngano ama?Huyu Sky Eclat ana vistori vya ajabu sana
Itakuwa