Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ok, njoo uniambie kuhusu hicho kitu.
Una haraka utajikwaa [emoji23]
Njoo taratiibu bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok, njoo uniambie kuhusu hicho kitu.
nitagMkinga tena?? [emoji1787]
Wewe si nimekupa kazi unitafutie manzi?
Vipi kashapatikana?
Alafu shostito ako leo kafunguka live umeona?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kujificha na nini?
Ok.Achana naye, dogo ana mawenge
nitag
nipmTafuta mwenyewe tulicomment na watu, naona katureport comments zote zimefutwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo humgongi vizuri.... Wengi wenye visarani hawagongwi vizuri, ukipata mtu wa kukusaidia kumgonga mke wako uwezi kuona tena hizi kero, uwa wanarudi nyumbani wakiwa wachangamfuUnamuuliza hakujibu,
Shida nini hakujibu
Umekosea wapi!? Hakujibu
Yani yupo kama yupo tu!?
Unaomba game.. anakupa, ila yupo tu.
Unamaliza , yupo tuu..
Yani yupo tu.
Unaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.
Basi tu, kaamua kukutesa. Nyie Wanawakee?
Hamna vikoba wala nini, ni tendency yake tu,Kuna mahali alienda..huenda kavurugwa huko.
Wapumbavu sana. Usikute ni mambo ya vikoba.!?
Ni kama vile ukikosea au bahati ikiwa mbaya, wapo wanajilia hadi wanasaza, ndoa iheshimiweKumbe kwenye ndoa mnateseka [emoji1787][emoji1787]
NenoSio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.
Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?
Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.